Dah yashanikuta hayo asee kudate na demu muathirika, wacha kabisa sema hakua anajua pia ile pisi asee ni ameumbika balaaa alipewa alipozaliwa.
Nimekuja kuambiwa na bi mkubwa mmoja hivi alikua Dr (RIP), baada ya kuniona nae mara kadhaa na ananifahamu huwa nacheza game na mtoto wake, siku akaniita akaniambia ukweli, kuwa kwa professional yake sio sawa lakini mimi na mwanae tuna ushikaji flani inabidi kuniambia ndo akanichana.
Yule dada amezaliwa nao na wazee wake wanatumia dawa na yeye ndo dr wao aisee kidogo nizime hapo tuna wiki 3 kila nikiomba mzigo anachomoa hata kiss hataki

. Nikampotezea halafu from no where akaanza kutaka yeye nikawa namkwepa siku moja tukakutana usiku akanisindikiza akataka kunikiss dah nikamkiss juu tu nikasepa hakuniona tena sijui yuko wapi now.