Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 359
<br />Ndugu zangu leo naungama hali ya kuwa nimefunga ramadhani ya 25, huu ninaosema ni ukweli mtupu mimi ni kijana wa miaka 22 najua mtashangazwa vp niliisaidia CCM kwenye uchaguzi wa 2005.<br />
<br />
Niliandikishwa kupiga kura hali ya kuwa sijatimiza umri wa miaka 18 lakini haikuwa makosa yangu nilipelekwa na mmoja ya wazazi wangu kwa lengo la kuisaidia CCM ishinde huku waindikishaji wakielewa fika kuwa sijatimiza miaka 18.<br />
<br />
Na la pili kuhusu kupokea rushwa nimefunguliwa duka na mzazi wangu ila mwaka jana TRA hawakuja kunidai kodi zao {angalizo sio kwamba sipendi kulipa kodi au silipi mpaka nifatwe bt nakua mgumu kulipa sababu sioni kodi zangu zinapotumika}<br />
<br />
Sikujua kwanini lakini leo nimegundua kuwa ulikuwa uchaguzi mwaka jana ndio maana hawakuja kudai ili kuwe na urahisi wa kushinda au siko sahihi ndugu zangu
<br />Kwa kuanzia nenda kalipe kodi uliyokwepa mwaka jana. Hili la kuisaidia ccm umesamehewa kwa masharti ya kutorudia tena mchezo huo na uanze mara moja kushirikiana na wanamageuzi.
Ndugu zangu leo naungama hali ya kuwa nimefunga ramadhani ya 25, huu ninaosema ni ukweli mtupu mimi ni kijana wa miaka 22 najua mtashangazwa vp niliisaidia CCM kwenye uchaguzi wa 2005.
Niliandikishwa kupiga kura hali ya kuwa sijatimiza umri wa miaka 18 lakini haikuwa makosa yangu nilipelekwa na mmoja ya wazazi wangu kwa lengo la kuisaidia CCM ishinde huku waindikishaji wakielewa fika kuwa sijatimiza miaka 18.
Na la pili kuhusu kupokea rushwa nimefunguliwa duka na mzazi wangu ila mwaka jana TRA hawakuja kunidai kodi zao {angalizo sio kwamba sipendi kulipa kodi au silipi mpaka nifatwe bt nakua mgumu kulipa sababu sioni kodi zangu zinapotumika}
Sikujua kwanini lakini leo nimegundua kuwa ulikuwa uchaguzi mwaka jana ndio maana hawakuja kudai ili kuwe na urahisi wa kushinda au siko sahihi ndugu zangu
Ukimaliza kuungama hili la kuisaidia CCM kushinda mwaka 2005 usisahau kuungama na hili la kuwadanganya wana JF. kama mwaka 2005 ulikuwa na miaka 18inakuaje leo uwe na miaka 22? Isije ikawa unaomba msamaha kwa kosa ambalo haukulifanya