Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,928
- 828,569
Uchangu ni kazi kama kazi nyingine japo hii hufanyika faraghani, changudoa hasikii utamu wowote anachojua yeye ni kuchojoa uchomeke umalize haja zako umlipe asepe, usijaribu kuleta ufundi wako wa kukata viuno wakati mwenzio yuko kikazi zaidi anachofanya yeye ni kuhesabu dakika zikitimia 5 hujamaliza hiyo ni juu yako na usishangae akikwambia braza nilipe changu nisepe ny.ege zako kamalizie kwa mkeo mimi niko kikazi zaidi au ukitaka ongeza pesa!