Nilipe changu usepe

Nilipe changu usepe

Asee kazi yao ni ngumu sana. Inaumiza mno. Tizama mwonekano wa sura zao utagundua kitu.
Nikiri kutoka na changu mmoja at my satan age. Nilijitundika viroba kadhaa. Yeye hakucharge mudawise. Alichagi bao moja tu. Nilivovua tu akashtuka. Lakini atafanyaje. Basi tukaanza kazi. Style moja tu missionary. Akanichimba beat. Nikajua anaogopa deep penetration.
Bao haliji naongeza spidi tu amekunja sura. Nikahoji 'nakuumiza?'
akajibu 'nasikia utamu'. But kiukweli miguno ile ni ya maumiv.
Baada ya mda akaniömba niachane nae kwani nampotezea muda.
'bwanaee shika hela yako umekunywa maviroba mengi unanipotezea mda bao lenyewe hupigi'. alisema huku akivaa.
Wanakutana na mengi hawa is not an easy job.
Teh teh hapo kwenye bluu umetisha mkuu:smile-big:
 
Watu mnajifanya hamuwajui hao machangu????
 
Hahahahaaa Kiteitei hii ni mada tu lakini yenye uhalisia kabisa tunajitoa tu ufahamu kujifanya hatujui hii kitu lakini ukweli ni kwamba watu wanaendesha maisha yao kupitia uchangu wanasomesha watoto wanawahudumia wazazi vijijini wanalipa kodi za nyumba nk nk! kuna wachangiaji humu jana tu wametoka kupata hii huduma lakini wakija hapa utafikiri sio

aisee hyo ni kweli kuna kipindi nilimkuta dada mmoja alikuwa changu alikuwa amekamatwa na polis yule dada nilikuwa namfaham nilimuuliza kwa kumsikitikia kuwa kwann anafanya biashara kama ile. Akaniambia mdogo wangu ww kaa kimya mm naingiza hela zaidi yako ww pamoja na shughul zako zote..... Akasema ninauwezo wa kulaza laki hadi laki na nusu kwa siku endapo sijiskii vbaya, akasema hebu piga hesabu kwa mwez sh ngapi napata?? Kwahyo ww hunishaur kwa lolote..
 
juzi nasikia soko moja la machangu limefungwa mbagala watu wakaandaman kwa nini soko limefungwa wakati ndo ilikuwa kipoozeo chao,ilikuwa ni buku mbili yako tu unaenda unasomba kaswende,pangusa na takataka zengine
 
Wengine hivyo hivyo kibiashara wanaangukia kwa mjanja mmoja, mjanja huyo kila akienda anapewa bure wewe mshanajr ukienda unachunwa/unapunwa mapene yako
 
Last edited by a moderator:
duh !!!! kuna maujuzi kibao kuhusu hawa jamaa...anyway will be coming later
 
ushawahi kununua huduma zao mshana jr?

Husninyo life has so much adventures n have so much to share i did it it b4 hapa nyumbani na ughaibuni pia but thats past i ve nothing to do with it! zimebaki story
 
Last edited by a moderator:
Wengine hivyo hivyo kibiashara wanaangukia kwa mjanja mmoja, mjanja huyo kila akienda anapewa bure wewe mshanajr ukienda unachunwa/unapunwa mapene yako

HARUFU sinunuagi K hata maramoja zaidi sana mi ndo huuziwa kwakuwa domo langu limejaaliwa kuchanganya silabi
 
Last edited by a moderator:
Husninyo life has so much adventures n have so much to share i did it it b4 hapa nyumbani na ughaibuni pia but thats past i ve nothing to do with it! zimebaki story

ahsante kwa kuwa muwazi, ungekataa ningeshangaa maana hii sredi umeiandika kihisia sana. loh
 
HARUFU sinunuagi K hata maramoja zaidi sana mi ndo huuziwa kwakuwa domo langu limejaaliwa kuchanganya silabi
Na huna mkono wa birika linapokuja swala la kutoa, nimekupata kiongozi wangu
 
ahsante kwa kuwa muwazi, ungekataa ningeshangaa maana hii sredi umeiandika kihisia sana. loh

Thats life! we share what we experienced before...! wakati uld wa maggot then Jolly Club, Kwamacheni, Sokota na Mwananyamala Kwa Wahaya, China Town Bagamoyo Rd, Igongwe Mwenge nk! those old days! ama kweli ndom zinasaidia
 
futa hii kauli kwanza niweze kuchangia mada,
  • serikali haipati mapato kupitia uchangudoa, hivyo si kazi halali.
  • uchangudoa hauna valid certificate, where is the profession given from? so hii si kazi halali, otherwise jukwaa la kazi lingejaa nafasi za kazi za uchangudoa.
  • Machangudoa hawana haki mbele ya sheria, otherwise, prove mbele ya mahakama ya kadhi! utanyongwa uarabuni wewe! (mfano umetolewa hapo, mimi si muumini wa misikitini)
  • angalia mazingira ya kazi inavyofanyika, its very shaming... ile nayo kazi kweli?
point zimejikita kulingana na mazingira ya Tanganyika tu, otherwise niko tayari kusahihishwa.

Uzembe wa serikali yako
 
Uchangu ni kazi kama kazi nyingine japo hii hufanyika faraghani, changudoa hasikii utamu wowote anachojua yeye ni kuchojoa uchomeke umalize haja zako umlipe asepe, usijaribu kuleta ufundi wako wa kukata viuno wakati mwenzio yuko kikazi zaidi anachofanya yeye ni kuhesabu dakika zikitimia 5 hujamaliza hiyo ni juu yako na usishangae akikwambia braza nilipe changu nisepe ny.ege zako kamalizie kwa mkeo mimi niko kikazi zaidi au ukitaka ongeza pesa!

kumbe ndio zaaakooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom