Umetafunwa we kubali tuPamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana.
Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku date eneo la kazi.
Kuna vitu haviwezi ongelewa ila vina athar sana mupnekano ikiwepo, people do judge the way you look even if they have no business with you, they will automatically puts you somewhere is their ranking position.
So km wewe hujajaaliwa uzuri, jitahid uvae vizuri na uwe na kauli nzuri.
Duuuh sio poa kweli Nafaka na Vipodozi vinalipa sanaSo km wewe hujajaaliwa uzuri, jitahid uvae vizuri na uwe na kauli nzuri.
Kitope sungura hichoSamahani we ni mwanamke au mwanaume mbona unapenda sana kujisifia uzuri uzuri nini shida
[emoji1787][emoji1787] ndio umenivuruga kabisaKitope sungura hicho
DuuhKitope sungura hicho
Anatoa siti ya nyuma[emoji1787][emoji1787] ndio umenivuruga kabisa
AiseeeAnatoa siti ya nyuma
Yeah upo sahihi kabisa bwashee
Bwana mdogo itakua ni hermaphrodite[emoji1787][emoji1787] ndio umenivuruga kabisa
I cementing this replyFK U
Labda ni ile + kwenye watu wa herufiSamahani we ni mwanamke au mwanaume mbona unapenda sana kujisifia uzuri uzuri nini shida
Wewe jamaaa una matatizo sanaPamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana.
Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku date eneo la kazi.
Kuna vitu haviwezi ongelewa ila vina athar sana mupnekano ikiwepo, people do judge the way you look even if they have no business with you, they will automatically puts you somewhere is their ranking position.
So km wewe hujajaaliwa uzuri, jitahid uvae vizuri na uwe na kauli nzuri.