Niliowa kwa kulazimishwa.

Niliowa kwa kulazimishwa.

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,963
Salamu Sana.


Ama baada ya salamu

Mimi Ni kijana mwenye umri wa miaka 30. Ambaye nimeoa na Nina mtoto mmoja.

Chanzo Cha kuoa Ni umalaya nilikuwa nafanya na binti mmoja HIVi ambaye alinipenda Sana. Ila Mimi nilikuwa na lengo la kumaliza hamu zangu tuuu.

Sasa ikatokea nimafumaniwa, na kuozeshwa kwa lazima (ndoa ya mkeka)

Sasa dah taabu ipo pale pale
Naishi na mwanamke lakini akili yangu haipo kwake kabisaaaaaaaaa....

Ndo pale unaambiwa akifanya kosa la JERO nampa adhabu ya BUKU MBILI.

Hii Hali inaniuma Sana hasa pale ninapomuona anajitoa kwa Kila kitu kwa ajili yangu. Daaah naumiaga Sana .

Je?
Wazee baba na wazee mama

Kuna namna hapo au ndo nimeshaangamia???


NAWASILISHA
 
Salamu Sana.


Ama baada ya salamu

Mimi Ni kijana mwenye umri wa miaka 30. Ambaye nimeoa na Nina mtoto mmoja.

Chanzo Cha kuoa Ni umalaya nilikuwa nafanya na binti mmoja HIVi ambaye alinipenda Sana. Ila Mimi nilikuwa na lengo la kumaliza hamu zangu tuuu.

Sasa ikatokea nimafumaniwa, na kuozeshwa kwa lazima (ndoa ya mkeka)

Sasa dah taabu ipo pale pale
Naishi na mwanamke lakini akili yangu haipo kwake kabisaaaaaaaaa....

Ndo pale unaambiwa akifanya kosa la JERO nampa adhabu ya BUKU MBILI.

Hii Hali inaniuma Sana hasa pale ninapomuona anajitoa kwa Kila kitu kwa ajili yangu. Daaah naumiaga Sana .

Je?
Wazee baba na wazee mama

Kuna namna hapo au ndo nimeshaangamia???


NAWASILISHA
Umeangamia sana. Kuishi na mtu usiyempenda ni mateso.
 
Salamu Sana.


Ama baada ya salamu

Mimi Ni kijana mwenye umri wa miaka 30. Ambaye nimeoa na Nina mtoto mmoja.

Chanzo Cha kuoa Ni umalaya nilikuwa nafanya na binti mmoja HIVi ambaye alinipenda Sana. Ila Mimi nilikuwa na lengo la kumaliza hamu zangu tuuu.

Sasa ikatokea nimafumaniwa, na kuozeshwa kwa lazima (ndoa ya mkeka)

Sasa dah taabu ipo pale pale
Naishi na mwanamke lakini akili yangu haipo kwake kabisaaaaaaaaa....

Ndo pale unaambiwa akifanya kosa la JERO nampa adhabu ya BUKU MBILI.

Hii Hali inaniuma Sana hasa pale ninapomuona anajitoa kwa Kila kitu kwa ajili yangu. Daaah naumiaga Sana .

Je?
Wazee baba na wazee mama

Kuna namna hapo au ndo nimeshaangamia???


NAWASILISHA
Vipi kwani papuchi si unapata,, hayo mengine achana nayo
 
Ni mzuri ? Unadhani humpendi kwanini?
 
Ni mzuri ? Unadhani humpendi kwanini?
Simpendi kwasababu kuu 3

1. Haniridhishi
2. Alisha kwichkwich na mtu wangu wa karibu ( nilijua baada ya kuoa)

3. Sio mzuri saaaana

Yeye ndio ananipenda sana
 
Tatizo kinachokutesa ni tabia yako ya umalaya hujaacha, sasa unateseka na nini wakati mtu ulikuwa na uhusiano nae, acha upuuzi kaa ulee familia, we huoni watoto wengi wanateseka kwa sababu ya wazazi wao kutengana,mke katulia anakuhudumia sasa unataka nini? nyinyi ndio mnakimbilia kuoa walioshindikana mnawakataa wake wema baadae mje kutusumbua hapa kutoa ushauri
 
Ninateseka Sana ndugu yangu
Mkuu mpe talaka. Huwezi kusacrifice furaha yako for the rest of your life. Huwezi kuanza kuishi jehanamu kabla hujafa. Achana naye. Ukiachana naye hata yeye itamsaidia maana wote mnaishi bila furaha ndani ya nyumba.
 
Simpendi kwasababu kuu 3

1. Haniridhishi
2. Alisha kwichkwich na mtu wangu wa karibu ( nilijua baada ya kuoa)

3. Sio mzuri saaaana

Yeye ndio ananipenda sana

Sasa hapo pa kwich kwich na mtu wako wa karibu mbona ndiyo ilikiwa gia.


Muda mwingine tunajifunza kupenda.


Hapa kijiweni wewe unayajua maisha yako vizuri.
 
Tupo wengi mkuu,mim nimeoa nikiwa na miaka 23,
 
Back
Top Bottom