Nilionya Juu ya Wahadhiri kupewa kazi kubwa kama Ukatibu mkuu

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,237
Wakuu system ya Ualimu ni tofauti na Utumishi mwingine watu waliofanya kazi tofauti na Ualimu ni wajanja wajanja sana wanaweza Kusain deal wewe hata usijue ni vema ukamchukua hata Mtu aliyefanya kazi kwa mda mrefu katika idara Fulani ndani ya Wizara kuliko kumchukua mshika chaki

Mara nyingi wanashindwa Wakikutana na Wajanja wa pale Wizarani waliozoea kupiga deal watapitisha mchanga huku ukiwa huna hata habari.

Mtaalamu wa Mambo ya Saikolojia Leo amekua Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji afadhari angewateua hata Ma professor wa pale SUA wa Water Resource Engineering, Agricultural Engineering

Hivi Pale Wizarani wamekosa hata wakuu wa Idara mbalimbali wakapandishwa vyeo.
 
Tusubiri na TANESCO.

Tatizo ni JPM maana wakati wa JK haya mambo hatukuyashuhudia.

Endeleeni kumsifia.
 
Kama vipi hiyo nafasi ya katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini asimamie mwenyewe tu(ajiteue mwenyewe).
 
Watu hamwelewi, nimeshasema

"sipangiwi cha kufanya, sikushawishiwa na mtu wala hakuna aliyenichukulia fomu "

Sasa kama hao walimu wanajua siri ya PhD yangu unataka niwakirimie nini?
 
Wakuu system ya Ualimu ni tofauti na Utumishi mwingine watu waliofanya kazi tofauti na Ualimu ni wajanja wajanja sana wanaweza Kusain deal wewe hata usijue ni vema ukamchukua hata Mtu aliyefanya kazi kwa mda mrefu katika idara Fulani ndani ya Wizara kuliko kumchukua mshika chaki


Mara nyingi wanashindwa Wakikutana na Wajanja wa pale Wizarani waliozoea kupiga deal watapitisha mchanga huku ukiwa huna hata habari.

Wanaofanya uteuzi si wenzako Wa Lumumba??

Embu usituletee utahira Wa kibashite hapa teueni hata watu wote Wa kolomije
 
Wakuu system ya Ualimu ni tofauti na Utumishi mwingine watu waliofanya kazi tofauti na Ualimu ni wajanja wajanja sana wanaweza Kusain deal wewe hata usijue ni vema ukamchukua hata Mtu aliyefanya kazi kwa mda mrefu katika idara Fulani ndani ya Wizara kuliko kumchukua mshika chaki


Mara nyingi wanashindwa Wakikutana na Wajanja wa pale Wizarani waliozoea kupiga deal watapitisha mchanga huku ukiwa huna hata habari.
Mwenyekiti wako wa CCM amesema hata siku moja haonyeshwi njia akaifata na wala hapangiwi cha kufanya. Kasema yeye ndiyo anapanga nani awe wapi.

Jipe shuhuli ya kufanya au kaa utulie mwenyekiti wako hataki kelele.
 
Usidhalilishe ualimu Kaka, kwani ukatibu mkuu ndio umeona kazi kubwa sana eeeeenh, mbona usitahadhalishe Rais kuchaguliwa mwalimu? Rais wetu si aliwahi kuwa mwalimu sengerema sekondari?

Kwa system yetu ya Sasa elimu ya mtu haina uhusiano na kazi aifanyayo. Darasa la Saba kapewa mkoa Tena mkoa mkubwa na mgumu kuliko yote na anakimbiza vile vile, we vipi bwana.
 
Endeleeni kusifia kwa mapambio na nyimbo za sifa kwa yule mtu anayejiona ndugu yake na Yesu.
 
Kuna tatizo kubwa sana kwa mwenyekiti wangu kuamini maendeleo au nchi ya viwanda yanaweza kuletwa na wasomi imani yake kubwa juu ya wasomi na vijana mwisho wa siku itakuja kumcost kama ambavyo tayali vijana wake wameshaanza kumcost MWENYEKITI wangu utakiwa kujua wasomi wengi wa Tanganyika wana vyeti na maarifa lakini hawana Akili
 
Kuna tatizo kubwa sana kwa mwenyekiti wangu kuamini maendeleo au nchi ya viwanda inaweza kuletwa na wasomi imani yake kubwa juu ya wasomi na vijana mwisho wa siku itakuja kumcost kama ambavyo tayali vijana wake wameshaanza kumcost MWENYEKITI wangu utakiwa kujua wasomi wengi wa Tanganyika wana vyeti na maarifa lakini hawana Akili
Sure
 
Back
Top Bottom