Huu mziki mnene...mmetenda laana kubwa ndugu yangu hata sijui mtatubu vipi?
Naelewa unataka kujitoa kwenye hii evil circle inayokuzunguka lakini dada anakurudisha kati kila ukijitahidi kujinasua.Tatizo hapo ni yeye inabidi umsaidie ili aone analofanya si sahihi kama uonavyo wewe kwasababu kwenye mentality yake umeshamzalisha na ana mapenzi na wewe anakuona kama mumewe inabidi mtu aongee nae ili aone vitu kwa perspective nyingine kwamba analotaka haliwezekani kimila,kidini na hata kiutamaduni.Inabidi aeleweshwe jamii inayomzunguka italichukuliaje suala hili?Sisi ni wanaadamu tumeumbwa kwa hisia,akili na aibu na ndio maana tukatofautishwa na wanyama wengine.
Ikiwezekana kaa mbali nae na uhame mji,hao watoto wahudumie lakini ishi kivyako.