Nilimwambia atakufa akafa kweli

Mdomo huumba. Hata mi nikimnenea mtu mabaya yanaweza tokea kama Yale au nusu ya Yale not kifo tho. Mpaka naogopa kuongea kitu kibaya kama mtu akinikwaza. Mfano
Nakumbuka sekondari niliibiwa daftari kipindi cha mitihani,nikawa nalalamika sana mmoja ananikejeli "ulikuwa unaandika kwa machine kwamba una Lilia mwandiko mzuri au unalilia counter book ya buku jero" yaliniuma Yale maneno nikamwambia sasa wewe ndio utalilia begi lako la mia mbili...A week ahead toka ile Siku alikuta locker limevunjwa na kaibiwa madaftari yote mpaka begi lake,I was the first suspect...kilichoniokoa kuna mwanafunzi alimuona mwizi...
 
 
Huko angani leo hakufai kabisa, wachawi saba wanenusurika kifo baada ya kupita mkondo mrefu mitaa ya Msata bila kutoa taarifa... Nimelishuhudia live hili tukio
 
Ww utakuwa mchawi Ila hujijui mheshimiwa, nenda kwa bulldozer wakashughulikie
 
Ww utakuwa mchawi Ila hujijui mheshimiwa, nenda kwa bulldozer wakashughulikie
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34]
[emoji2] [emoji2] usipasuke mkuu, hiyo ilitokea by coincidence tu, ila huwa inatokea tu, labda cha muhimu ni kuchunga ndimi zetu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…