The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 87
Mwanzoni aliniambia ana mtu japo kwa jinsi nilivyomchukulia sikupata imani na maelezo yake nikamuomba akanipa...baadaye nikagundua kweli ana mtu lakini tayari keshanipa mara nyingi tu sasa basi nimezama ndani sana na kurudi nona uvivu nimemuomba tumalize safari wote anaelekea kukubali... Je hapo kuna athari zozote wajemeni??
NB mtu mwenyewe simjui hanijui lakini ukweli ni kwamba yupo live bila chenga
NB mtu mwenyewe simjui hanijui lakini ukweli ni kwamba yupo live bila chenga