Its possible, lkn why unasema ni pepo na sio roho safi ya maono?
nikiwa darasa la kwanza huku kijijini kwetu hamkoko aliwahi kuja mgeni wa namna hii, yeye alidai ni mtaalamu wa nyota, akaniambia mimi nina akili sana baada ya kuniangalia kiganja changu, na akasema nitasoma sana na mwisho wake nitakuwa daktari. bahati mbaya sijawa daktari mpaka leo.
Yawezekana eti eeeh? na huyu alikuwa mgeni wa siku moja tu akaondoka asbh yake. Sikuwa daktari ila nimekuwa na fani nyengine tofauti na udaktari.Angalia icje ikawa nyota yako aliibeba
Yeah ni true stori lakini hainihusu mimi.........!