Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,139
- 14,558
Anajikuta MasiyaUfanye kila kitu wewe mzazi wake? Mambo mengine mnajitakia bure
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Anajikuta MasiyaUfanye kila kitu wewe mzazi wake? Mambo mengine mnajitakia bure
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Acha kujipa stress wakat mwenzio anaenjoy anakula maisha hakuwaz usijipe umuhimu kwa mtu utakufa kwa mapenz familia yako ipate tabu kwa uzembe wako Wa kuendekeza wanawake wasiojielewaNafanya hivyo ila moyoni nateketea
Kosa lilianzia hapaNilimpenda sana nilifanya kila alichokihitaji ila alichokuja kunifanyia
Kwan kwenye mahusiano ni nani anafanyaga kila kitu linapokuja suala la gharama..me au ke?? (Mara nyingi)Wee ni ke au me!?
Nimekuelewa master na nishajifunzaEti ulikuwa tayari kufanya analo taka, for real mjuba Hiyo nguvu mna toaga wapi???
Pigana kwa ajili yako, Malengo na mipango yako.
Familia uliyo toka, utasikia mtu ana sema niko tayari kufa kwa ajili ya fulani- for real asiee SI upambanie familia yenu iishi maisha Safi.
Jifunze kujipenda, mzee Hakuna Siri muhimu Kama kujipenda, Kama una kiu ya kupendwa sana. Bora ukanywe maji coz the world is full of nonsense.
Unanicheka eeeSamahani mtoa mada, ndiyo huyu..?
This is the next gift to my baby
Guys nimekaa nimewaza na kuwazuwa nikaona acha nifunge mwaka na zawadi flani hivi ndogo ila ina thamani kimtindo. Nataka nimchukulie wifi yenu iPhone 13 wenyewe wanaiita macho 3 najuwa sio latest ila naamini ataipenda Guys nafanya yote kwa sababu ya mapenzi siangalii kama atanipiga matukio...www.jamiiforums.com
Mwanaume,Kwan kwenye mahusiano ni nani anafanyaga kila kitu linapokuja suala la gharama..me au ke?? (Mara nyingi)
🤣🤣🤣Heartbreak moja umeshakuwa mshauri wa mapenzi
Haya tuelekeze namna ya kuwa makini na mapenzi
Samahani mtoa mada, ndiyo huyu..?
This is the next gift to my baby
Guys nimekaa nimewaza na kuwazuwa nikaona acha nifunge mwaka na zawadi flani hivi ndogo ila ina thamani kimtindo. Nataka nimchukulie wifi yenu iPhone 13 wenyewe wanaiita macho 3 najuwa sio latest ila naamini ataipenda Guys nafanya yote kwa sababu ya mapenzi siangalii kama atanipiga matukio...www.jamiiforums.com
Kosa Hilo, uliingilia majukumu ambayo sio yakoZaidi ya kumsomesha
Unanicheka eee
Huwezi amini me nimeskia huruma, siwezi cheka sababu yangu sahii yananiendea vyema huku ya kesho na k/kutwa siyajui..!!hii imeenda
Akiwa anaona macho matatu barabarani sijui atazirai, atachagua mwenywe tukamzikie wapi
Huwezi amini me nimeskia huruma, siwezi cheka sababu yangu sahii yananiendea vyema huku ya kesho na k/kutwa siyajui..!!