Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,443
- 2,567
Nimeona ndugu yako hapo juu, yupo busy kutapika husia wa wewe kumsamehe huyo bi Dada... From there nikapata swali kidogo "hivi huyu chief, anakijua vizuri akizungumzacho au anabashiri?!!" "
Lemmie tell you something, binafsi katika ulimwengu huu wa mahusiano, nimejifunza kwamba "paka ni paka tu, never awezi kuwa chui...." It means unapokutana na mtu wa sampuli hiyo ya huyo bidada, ni vema ukakubali kupoteza mechi. Kuliko kujitia baba paroko, ukarudisha mashambulizi......huko ni sawa na kujichimbia kaburi mchana kweuupe. Maana piga ua garagaza huyo bidada hawezi kubadilika hata iweje, unless akufanyie maigizo......
Sasa ninapoona mtu anataka kupindua white kuwa black, y not nisipate ukakasi...!!!!
Lemmie tell you something, binafsi katika ulimwengu huu wa mahusiano, nimejifunza kwamba "paka ni paka tu, never awezi kuwa chui...." It means unapokutana na mtu wa sampuli hiyo ya huyo bidada, ni vema ukakubali kupoteza mechi. Kuliko kujitia baba paroko, ukarudisha mashambulizi......huko ni sawa na kujichimbia kaburi mchana kweuupe. Maana piga ua garagaza huyo bidada hawezi kubadilika hata iweje, unless akufanyie maigizo......
Sasa ninapoona mtu anataka kupindua white kuwa black, y not nisipate ukakasi...!!!!
Ukakasi kwanini mkuu?