Indeed mate.Hii itakuwa ni Tripple "F"
Indeed mate.Hii itakuwa ni Tripple "F"
Sasa wewe mtaani ulikuwa na mademu kibao,yeye kuwa na Bwana mwingine unaumia Nini!Ni mwenyeji wa huko mkuu
Labda nikwambie kitu
Unaweza ukawa na msululu wa madem lakini katika hao Kuna Mmoja akipindua unapinduka kwelikweli ndo limenikuta hilo
Telegram nipo muda na mtaani Nina mademu chungu nzima.
Ila nilijitahidi sana mwanamke wangu asijue na nilikua namheshimu mno sababu nilimpenda ila ndo hivo limetokea hili
Acha niruhusu maumivu kidogo najua nitakua poa
Ni kweli coz alinificha sanaUnatakiwa umshukuru Mungu kakuonyesha rangi zake mapema. Wengine wanajua way too late to do anything alafu unakuta mna watoto watatu, sio poa. .
Kuhusu elimu na maarifa nakupinga mkuuUnakuaje na mahusiano na binti muda wote huo bila kumuoa ? Vijana huwa nawaambia kila siku kama hujajipanga kama mnavyo dai wenyewe, usijihusishe na mahusiano. Mahusiano siyo chakula useme usipokuwa nayo utakufa, mnatakiwa muwe na akili.
Kingine haya mambo yanahitaji sana elimu na maarifa.
Hapana mkuubas njoo tumtengeneze kokote aliko awe ana bleed tu mwanzo mwisho.
Tumwongezee na harufu kali sana mdomoni
Inauma mnoDharau hizi.hasa pale unapo kumbuka na wewe una kikojoleo afu kaenda kukojolewa na jamaa lingine
Wewe ni jasiri, mwenzio nilitaka kudataNi mwenyeji wa huko mkuu
Labda nikwambie kitu
Unaweza ukawa na msululu wa madem lakini katika hao Kuna Mmoja akipindua unapinduka kwelikweli ndo limenikuta hilo
Telegram nipo muda na mtaani Nina mademu chungu nzima.
Ila nilijitahidi sana mwanamke wangu asijue na nilikua namheshimu mno sababu nilimpenda ila ndo hivo limetokea hili
Acha niruhusu maumivu kidogo najua nitakua poa
Wanaume tumeumbwa tofautiSasa wewe mtaani ulikuwa na mademu kibao,yeye kuwa na Bwana mwingine unaumia Nini!
Ulivyotenda umetendewa.
Holy holm mnyama sanaUlichokosea ni kuleta mapenzi ya kikorea bongo, tafuta mwingine na umtende bila huruma
UKOME mkuu kumbe ni una talent ya kutualibia mabinti zetuNi mwenyeji wa huko mkuu
Labda nikwambie kitu
Unaweza ukawa na msululu wa madem lakini katika hao Kuna Mmoja akipindua unapinduka kwelikweli ndo limenikuta hilo
Telegram nipo muda na mtaani Nina mademu chungu nzima.
Ila nilijitahidi sana mwanamke wangu asijue na nilikua namheshimu mno sababu nilimpenda ila ndo hivo limetokea hili
Acha niruhusu maumivu kidogo najua nitakua poa
Nilitengeneza himaya yangu kwake nikaamini ndiye atakua mama watoto wangu badala yake mambo yamekua tofauti na nilivyotegemea.
Kilichonipendeza ni tabia yake ambayo ilikua ya tofauti kidogo ukilinganisha na Wale niliowahi kuwa nao mpaka (nikaruhusu muunganiko wa kihisia ambao ndio unanitesa baada ya yeye kuniacha Tena kwa kupewa mimba na jamaa mwingine)
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka Mmoja na nusu na nilitegemea mwezi unaofata nitangaze uchumba Kisha nipeleke mahari kwao.
Asanteni sana wanawake mwenzenu kawawakilisha vyema kidogo nimeanza kuwaelewa.
... tuliyokatazana kwenye kikao hukuyazingatia kabisa, bado ulirudia kupenda mtu kama nyama choma. Pole sana, tafuta pesa.Nilitengeneza himaya yangu kwake nikaamini ndiye atakua mama watoto wangu badala yake mambo yamekua tofauti na nilivyotegemea.
Kilichonipendeza ni tabia yake ambayo ilikua ya tofauti kidogo ukilinganisha na Wale niliowahi kuwa nao mpaka (nikaruhusu muunganiko wa kihisia ambao ndio unanitesa baada ya yeye kuniacha Tena kwa kupewa mimba na jamaa mwingine)
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka Mmoja na nusu na nilitegemea mwezi unaofata nitangaze uchumba Kisha nipeleke mahari kwao.
Asanteni sana wanawake mwenzenu kawawakilisha vyema kidogo nimeanza kuwaelewa.
Asee ni kweli mkuuKaza Mzee.......kuwa legend sio kazi nyepesi.