Thanks Thanks!!
Wewe mchunie tu hadi uone atafanyaje
sanasana piga kazi tu kimya kimya
Tukusaidieje sasa?
Mkuu, Rabboni, Ww Ni Mwanaume, Tambua Ya Kwamba Mwanamke Ni Mwanamke Tu, Hata Angezaliwa Mars!
Alitoka Ubavuni Mwetu, Wanawake Wameumbiwa, Upole, Ukarimu Na Unyenyekevu Pia Mapenzi Ya Dhati,
Naamini Kabisa Ukijishusha Kuwa Umetambua Kosa Lako Na Unajutia Japo Haikuwa Dhamiri Yako Kufanya Vile Field Bali Ilitokana Na Ugumu Wa Kazi, Umweleze Kwa Sauti Ya Unyenyekevu Huku Ukimsihi Asamehe Na Kusahau,
Naamini Kabisa Kutokana Na Nafasi Aliyo Nayo Na Kwa Kujituma Kwako Kipindi Mkiwa Kwenye Ile Project,
Binti Ataulainisha Moyo Wake Na Kuukunjua Kuwa Mnyoofu Kabisa Kwako Na Hakika Atakusaidia.
Ile ilikua Sehemu ya kufanikisha kazi huenda hata baada ya pale ndio kapanda cheo piga kazi kijana kama hakuweka kinyongo utamsoma kadri siku zinavyokwenda.
Kama kweli ulimkosea muombe msamaha lakini kama ukua nakosa ww piga kazi kwabidii iliumuoneshe kwamba kipindi kile ulikua unamanisha ninini mwenyewe atakuomba msamaha ukipiga kazi hata akijenga wazo lakukuondoa hawezi kwani atakosasababu
Sawa mkuu ishu sio kuniondoa, hawezi kuniondoa katika kazi!!
ishu ni deal za kutoka na vi workshop vya hapa na pale..
Hapo ndo ucheze kwa umakini na usimshirikishe
nisimshirikisheje tena? hizo deal sasa hivi si ndio zitakuwa zinapitia kwake? kesho nadhani ndiyo siku poa ya mimi na yeye kuongea muda mrefu kikazi...
Kama unaonakufaida hakunajinsi lakini subiri kwanza akuanze yy make kama in deal zilikuepo nayy hatakubali kuzikosa itabidi akushilikishe