Cephas Saphiel
Member
- May 25, 2009
- 32
- 16
lima mipapai inavumilia hali zote za jua na mvua.
lima vegetables zinalipa, kuna jamaa yangu alienda moro last year kuanza kilimo sasa anakuja dar amejaza lory mara mbili kwa wiki analeta mboga mboga
Habari zenu wanajukwaa. Naamini ni kwa rehema za Mungu kufika hapa hata pia kutupa akili na mtaji kidogo na kuwaza la kufanya. Nimenunua shamba Morogoro lisilopungua Hekari kumi ila naumiza kichwa ni nini nilime kiweze kunilipa. Niliwaza kulima mazao ya muda mrefu especially kokoa lakini nimeona wanunuzi ni monopoly sana na bei wanapanga coz mnunuzi mkubwa ni mohamed enterprisess na gharama hazinilipi nikijumlisha na usafiri mpaka kumfikishia. Haina maana sitaki kulima mazao ya muda mfupi, ninachotaka mimi ni kupata mwanga wa faida ya uhakika hata kwa baadae. Naombeni mawazo yenu ndugu zangu nilime nini coz ardhi inarutuba sana na barabara ipo nzuri. Please nisaidie kwa hilo. Ahsanteni sana.
Lima Matunda na Mbogamboga zina faida acha kabisa hautajuta.
Bangi mkuu.
swissme
Habari zenu wanajukwaa. Naamini ni kwa rehema za Mungu kufika hapa hata pia kutupa akili na mtaji kidogo na kuwaza la kufanya. Nimenunua shamba Morogoro lisilopungua Hekari kumi ila naumiza kichwa ni nini nilime kiweze kunilipa. Niliwaza kulima mazao ya muda mrefu especially kokoa lakini nimeona wanunuzi ni monopoly sana na bei wanapanga coz mnunuzi mkubwa ni mohamed enterprisess na gharama hazinilipi nikijumlisha na usafiri mpaka kumfikishia. Haina maana sitaki kulima mazao ya muda mfupi, ninachotaka mimi ni kupata mwanga wa faida ya uhakika hata kwa baadae. Naombeni mawazo yenu ndugu zangu nilime nini coz ardhi inarutuba sana na barabara ipo nzuri. Please nisaidie kwa hilo. Ahsanteni sana.
Sasa yanalipa???.