Wasalaam wakuu? Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, ni kwamba nilimaliza chuo kikuu 2014 ila sijapata kazi ya kueleweka hadi sasa hivi na nilipata mkopo kwa muda ule, nmefikiria kusoma chuo coz nyingine iliyo ktk market kwa sasa, je nikiomba mkopo tena ntapata?
Nawasilisha wakuu