Bacore
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 222
- 228
Baada ya muda mrefu kuona muelekeo wa CCM haukuwa mzuri japo kuwa kipindi hiki cha awamu ya 5, naona mabadiliko makubwa kidogo nje na hayo mapungufu mengine. Mbowe amechemsha, nimeamua kuwadharau Chadema kwa kukubaliana kirahisi na maamuzi ya mwenyekiti wao, kwa maana hiyo mwenyeketi akisema jambo basi ni sawa, watu hawapewi hata warning letter, watu hawapewi nafasi nyingine ya kujitetea.
Itikadi ya chama, jina la chama, haliendani na uhalisia wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Chama kina prove failure, kwa kutokujua hata maana ya demokrasia, mwenyekiti na watu wake wote hamna kitu.
Ninapata ukakasi kufanya imagination ya endapo mmepata nchi. Msiniambie mtafanya maendeleo zaidi ya haya ya awamu ya 5 au na ninyi ndio walewale waongea maneno mengi kuliko vitendo.
chadema ni chama chenye uchu wa madaraka, chadema wanapokea watu kutoka CCM, waje kuwa viongozi kwa vile wameshindwa kule CCM wanakuja na huku chadema kujaribu baati zao, chadema kimekuwa chama cha kuchezesha baati na sibu dhidi ya viongozi walio shindwa kutoka katika chama cha CCM, Lowasa, sumaye NK. CHADEMA ni one man fight, akishapata anawapiga chini, miaka nenda rudi, mbowe yeye pekee ndiye mwenyekiti wa chama.
Hivi mwenyekiti wa Chadema anachaguliwa au amejichagua, mbona kama dectator hivi? Design kama hataki wengine washike wadhifa, alafu design kama neno lake ni sheria, hapana, ni uhuni huu sasa.
Nipo njiapanda, sio CCM wala Chadema kwa sasa.
Itikadi ya chama, jina la chama, haliendani na uhalisia wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Chama kina prove failure, kwa kutokujua hata maana ya demokrasia, mwenyekiti na watu wake wote hamna kitu.
Ninapata ukakasi kufanya imagination ya endapo mmepata nchi. Msiniambie mtafanya maendeleo zaidi ya haya ya awamu ya 5 au na ninyi ndio walewale waongea maneno mengi kuliko vitendo.
chadema ni chama chenye uchu wa madaraka, chadema wanapokea watu kutoka CCM, waje kuwa viongozi kwa vile wameshindwa kule CCM wanakuja na huku chadema kujaribu baati zao, chadema kimekuwa chama cha kuchezesha baati na sibu dhidi ya viongozi walio shindwa kutoka katika chama cha CCM, Lowasa, sumaye NK. CHADEMA ni one man fight, akishapata anawapiga chini, miaka nenda rudi, mbowe yeye pekee ndiye mwenyekiti wa chama.
Hivi mwenyekiti wa Chadema anachaguliwa au amejichagua, mbona kama dectator hivi? Design kama hataki wengine washike wadhifa, alafu design kama neno lake ni sheria, hapana, ni uhuni huu sasa.
Nipo njiapanda, sio CCM wala Chadema kwa sasa.