92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 6,713
- 15,159
Hata ukiwa nyumbani kwake bado haiathiri chochote kwa mwanaume tena ndio itaonyesha ukomavu wake wa akili na upeo wa maisha sote tunapita vitu kama misiba sio vya kuleta kupishana kauliAzikwe kiislamu lkn msiba usiwe nyumbani kwake