Habarini nyote....
Nilikuwa natafuta tu clarification kwamba naweza omba chuo kikuu pindi dirisha litafunguliwa hali ya kuwa nipo chuo cha kati na niliweza kusoma advance na kufaulu division II sema ilinilazimu nianze clinical medicine diploma.
Hivyo nimefanya machaguzi kubadilisha course nataka niombe course nyngne kwa bachelor degree maana vigezo ninavyo vya kutosha tu, je naweza omba bila shida yeyote iwapo NACTVET wakitoa matokeo yao wanaweza badilisha status yangu kwenye mfumo ili niwe na access kusoma kwengine?
Nilikuwa natafuta tu clarification kwamba naweza omba chuo kikuu pindi dirisha litafunguliwa hali ya kuwa nipo chuo cha kati na niliweza kusoma advance na kufaulu division II sema ilinilazimu nianze clinical medicine diploma.
Hivyo nimefanya machaguzi kubadilisha course nataka niombe course nyngne kwa bachelor degree maana vigezo ninavyo vya kutosha tu, je naweza omba bila shida yeyote iwapo NACTVET wakitoa matokeo yao wanaweza badilisha status yangu kwenye mfumo ili niwe na access kusoma kwengine?