RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,523
- 135,615
Ndio. Elfu 10 tatu na elfu 5 sita.Kitita cha elfu 60!!!???...
Ndio. Elfu 10 tatu na elfu 5 sita.Kitita cha elfu 60!!!???...
Nilikuwa natia shaka muuzaji wa kibanda changu huenda ananiibia. Siku moja nikaamua nikomae mwenyewe. Kama kawaida nimefungua asubuhi na kazi ikaenda. Mauzo murua haijawahi kutokea. Nikajua dogo alikuwa ananipiga. Hadi saa kumi hivi akaja mteja kununua mahitaji kama ya sh. 69,300/= hivi. Droo yangu ikasoma 260,000/= hivi. Nikiwa na furaha ya kazi, nikawa niko nje ya kibanda natia story na waliokuwepo hapo nje. Nikapata wazo kuwa nitenganishe ile hela kwa kuondoa 250,000/= niweke mfukoni nianze kudunduliza upya. Ninakwenda kuhesbu ile hela ninakuta imebaki 190,000/=. Yaani yale mauzo ya mwisho hayapo. Nililia kiaina.Binamu yetu aliachwa dukani ( m pesa kiosk)
Jioni alivoulizwa pesa ziko wapi kasema kuna mtu kaja kaomba chenji na baadae pesa kama laki tatu zikapotea kichuma ulete
"Mimi sijawahi kuamini kama ni kweli zilipotea au alitumia tu "
Hongera, kwani lazima wewe una nguvu ya ziada.Mnaoamini chuma ulete kupiga hatua hua ndoto!
Anywys!
Hao ni washenzi na wanamizizi ya uchawi wa kimataifa.sababu nyote nyinyi hamna ibada sijamsikia muhindi mwenye duka akilalamika au mwarabu ni wafrica tu ndio wanaibiwa
Nilishaenda sana na actualy nilikua hapo mda mwingi na wana,tunakula na kunywa ila wala dogo simsumbui.Weekend moja ungeenda kukaa hapo ili ujiridhishe.
😆😆😆😆 kwani kitita kinaanzia sh ngapi mkuu?Kitita cha elfu 60!!!???...
Kinaanza na elfu 10😅😅😅😆😆😆😆 kwani kitita kinaanzia sh ngapi mkuu?
Hao uliwataja hapo ndio washiriki wakubwa!sababu nyote nyinyi hamna ibada sijamsikia muhindi mwenye duka akilalamika au mwarabu ni wafrica tu ndio wanaibiwa
Chuma ulete haichukui kiasi kikubwa hivyoBinamu yetu aliachwa dukani ( m pesa kiosk)
Jioni alivoulizwa pesa ziko wapi kasema kuna mtu kaja kaomba chenji na baadae pesa kama laki tatu zikapotea kichuma ulete
"Mimi sijawahi kuamini kama ni kweli zilipotea au alitumia tu "
Wale idara ya ushirikina wako vzuri bosKwanini Muhindi au Mwarabu hakupi chenji mkononi anakuwekea juu ya meza?
Wewe hayajakukuta...au maybe hujawah kufanya biashara...au Kama ivo unabahati sanaaMnaoamini chuma ulete kupiga hatua huwa ndoto!
Anywys!
😆😆😆Wema mzigo, mkalimani ndiye MWALIMU wa infililio sivyo?