Nilikutana na Mariamu kwenye gari moshi

Nilikutana na Mariamu kwenye gari moshi

Mkuu hako ka summary kadogo umesoma kqq dakika 5, ongeza kula karoti
Dakika tano sio kusoma tu mkuu. Ni pamoja na kusikitikia hicho nilichokisoma, pamoja na kujiuliza maswali kadhaa kuhusu afya ya akili ya mleta mada!
 
Dakika tano sio kusoma tu mkuu. Ni pamoja na kusikitikia hicho nilichokisoma, pamoja na kujiuliza maswali kadhaa kuhusu afya ya akili ya mleta mada!
Dunia Sinia mkuu unapakuwa unachoweza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kazi kwel kwel

mim wakat nina umri waka wako nlikuwa nafikiria jinsi gani mwanga wa jua unasafiri , umbali mrefu kutoka jua lilipo mpka kufika dunian kwa sekunde/dakika kadhaa,

pia nlkuwa nkifikil inawezekana vip , mtu wa kale fuvu kugunduliwa Tz na kuonesha kaish umr zaid ya mamilion, lkn upande wa dini mtu wa kwanza wanasema aliishi Uko majangwani far away middle east ambako history yao ni approximated by 6000 years bc& A.D tangu uumbaji, so which is true?

sasa wew mdogo wetu umri huo na unachokiwaza ni tofauti kabsa, kwakweli acha tu jua lizid kutuchoma, dogo unapamban ilimladi tu upate utelezi wa mtu usiekuwa na taarifa zake sahihi.

nenda kigoma uone wenye mke wakakukekete icho kibamia chako kwa kuingilia wake za watu, acha tamaa dogo,

unajitahidi kusimulia, icho kipaj kitumie kukuingizia kipato, na sio kutongozea madem, acha ufala, utanilipa huu muda nliotumia kutype hii meseji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kazi kwel kwel

mim wakat nina umri waka wako nlikuwa nafikiria jinsi gani mwanga wa jua unasafiri , umbali mrefu kutoka jua lilipo mpka kufika dunian kwa sekunde/dakika kadhaa,

pia nlkuwa nkifikil inawezekana vip , mtu wa kale fuvu kugunduliwa Tz na kuonesha kaish umr zaid ya mamilion, lkn upande wa dini mtu wa kwanza wanasema aliishi Uko majangwani far away middle east ambako history yao ni approximated by 6000 years bc& A.D tangu uumbaji, so which is true?

sasa wew mdogo wetu umri huo na unachokiwaza ni tofauti kabsa, kwakweli acha tu jua lizid kutuchoma, dogo unapamban ilimladi tu upate utelezi wa mtu usiekuwa na taarifa zake sahihi.

nenda kigoma uone wenye mke wakakukekete icho kibamia chako kwa kuingilia wake za watu, acha tamaa dogo,

unajitahidi kusimulia, icho kipaj kitumie kukuingizia kipato, na sio kutongozea madem, acha ufala, utanilipa huu muda nliotumia kutype hii meseji
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kaka tunagusa gusa bwanaa maisha ndo haya haya.

Kesho ngoja niende kwenye majukwaa mengine nikachangie maada na huko
 
Back
Top Bottom