Nilikutana na Mariamu kwenye gari moshi

Nilikutana na Mariamu kwenye gari moshi

nimecheka utoto Raha Dem anakuita dogo
Ye ndo mdogo sasa hata chatting zake na sms zake anazotuma zinaonesha ni mtoto.

But intention ya hio sms yake was to provoke me to respond to her message not what u think
 
Ye ndo mdogo sasa hata chatting zake na sms zake anazotuma zinaonesha ni mtoto.

But intention ya hio sms yake was to provoke me to respond to her message not what u think
My bad am just saying .. the way iyo dogo inavyo sound humaanisha Dem anataka kuku weka in the friend zone
 
MREJESHO.

Kama wanavosema nyakati mbaya hazidumu vivyo hivyo nyakati nzuri.

Hatimae nimepata unga furushi la sms za mwezi na dakika za wiki.

Nimempigia mtoto Mariamu, muha wa kigoma mtoto mwenye sauti yake mithili ya Binti Fatuma (Bi Kidude).

Mariamu anaumwa tangia jumapili, tumbo linamsumbua. Kajaribu dawa mbalimbali lakini hali SI shwari.

Kanambia kwa kipindi Cha siku kadhaa hizi amekuwa akinitafuta LAKINI mie ndo nikawa simjibi, yawezekana ni kweli au SI kweli ila inaweza kuwa kweli, ye sio pekee anaelalamika kuntumia messages na sijibu lakini kiukweli sizipati sms hizo. (Wataalamu wa masuala ya simu na IT Nini inaweza kuwa shida ya hii kitu, mtu kutopata sms lakini sender inaonesha kwangu imefika??? Mnisaidie ili niweze kusafiri kwenye boti Moja na huyu bibie nlietokea kumkubali).

Binti kaniuliza Niko wapi maana nlimuambia nakuja Kigoma akili yangu ikasema huyu bibie Yuko interested ndomana kaniuliza nilipo, nikamjibu naja siku tatu zijazo na kaniambia nikàribie na atakuwa mwenyeji wangu. What a score from Paul Dyabala.

Tumeagan vyema na kumtakia pole kwa bugudha anayopitia, tukatamatisha siku.

OMBI.
Najua kuna Medical experts humu na watu wenye experience na shida ya matumbo yakina dada, kama mnaweza suggest dawa au sindano za kutumia ,it will be greatly appreciated

Further feedbacks to come.
 
My bad am just saying .. the way iyo dogo inavyo sound humaanisha Dem anataka kuku weka in the friend zone
Yeaah may be lakin dogo kaanza kuwa comfortable na mie ananambia ukweli bwana, kumbe anamtoto lakini babayake haeleweki ,nimeanza pewa lawama kuwa nataka kumchungulia then nimkimbie
 
MREJESHO.

Kama wanavosema nyakati mbaya hazidumu vivyo hivyo nyakati nzuri.

Hatimae nimepata unga furushi la sms za mwezi na dakika za wiki.

Nimempigia mtoto Mariamu, muha wa kigoma mtoto mwenye sauti yake mithili ya Binti Fatuma (Bi Kidude).

Mariamu anaumwa tangia jumapili, tumbo linamsumbua. Kajaribu dawa mbalimbali lakini hali SI shwari.

Kanambia kwa kipindi Cha siku kadhaa hizi amekuwa akinitafuta LAKINI mie ndo nikawa simjibi, yawezekana ni kweli au SI kweli ila inaweza kuwa kweli, ye sio pekee anaelalamika kuntumia messages na sijibu lakini kiukweli sizipati sms hizo. (Wataalamu wa masuala ya simu na IT Nini inaweza kuwa shida ya hii kitu, mtu kutopata sms lakini sender inaonesha kwangu imefika??? Mnisaidie ili niweze kusafiri kwenye boti Moja na huyu bibie nlietokea kumkubali).

Binti kaniuliza Niko wapi maana nlimuambia nakuja Kigoma akili yangu ikasema huyu bibie Yuko interested ndomana kaniuliza nilipo, nikamjibu naja siku tatu zijazo na kaniambia nikàribie na atakuwa mwenyeji wangu. What a score from Paul Dyabala.

Tumeagan vyema na kumtakia pole kwa bugudha anayopitia, tukatamatisha siku.

OMBI.
Najua kuna Medical experts humu na watu wenye experience na shida ya matumbo yakina dada, kama mnaweza suggest dawa au sindano za kutumia ,it will be greatly appreciated

Further feedbacks to come.
Either archive message or blocked number
 
Back
Top Bottom