Mnafahamiana?
Naomba kujua hii mistari ilikuwa kwenye nyimbo ipi? Ukiacha ile remix kati ya mack d ft mr paul. Nataka original yake aloimba niitafute please jamani
We nenda tu,ila usichukue kitu ambacho sio chako humo ndani.
Ni pm nikupe tulizo la moyo
Mnafahamiana?
Naomba kujua hii mistari ilikuwa kwenye nyimbo ipi? Ukiacha ile remix kati ya mack d ft mr paul. Nataka original yake aloimba niitafute please jamani
Jamani upo kweli?Ooooooooohh sikujua kama utabadilika x2
Baki salamaaaa kuonana nawe ni majaliwaa
Ooooh ulimwengu kweli una mambo mengi mamaaaaaaah x2
Baba mtoto.👋
Kwako baba mtoto,
Samahani nimekuja huku maana najua unashinda humu kuliko kushinda nyumbani, nimeamua kuvuja kwenye pakacha lako iwe nafuu kwako kulibeba, baki salama.
Nilikupenda sana mfano wa keki/chokoleti (napenda sana keki na chokoleti)
Lakini hukupendeka......., nimechoka hakika sijiwezi, kuishi tena mi na wewe
Ingawa nakupenda, lakini sitoweza.....
Ingawa rohoni nimekwisha, namwomba mola anisaidie, niweze kukusahau kabisa, nipate mwingine kushinda wewe.
Najua unausoma ujumbe huu muhusika ila leo ukirudi nyumbani hutanikuta, nitapotea kwenye taswira ya uso wako na maisha yako kabisa, hutaniona tena.
Naenda kuanza upya.
Aliyekuwa mkeo, mama mtoto wako na aliyekupenda daima,
Mkunde.
:disapointed::disapointed: