Nilikupenda lakini hapa ni mwisho

Nilikupenda lakini hapa ni mwisho

Tatizo yeye anachukulia mambo juu juu. Kwa upande wangu naona angemuuliza au kama kamtosa pia angemfahamisha kuliko hivyo alivyofanya.

Kwa sababu huko aliko mwenzake anafanyiwa maombi akitegemea mwenzake yupo anamsubiri.
Kwenye maombi ataona maono kuwa keshaachwa (Kama tu hao watumishi ni wa ukweli).

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
habar wana jamvi.
kuna binti wa kilokole nilimpenda sana tukaish ktk mapenzi mwaka mmoja na nusu.
baada ya apo akanigeuka akakata mawasiliano nilipomuuliza tatzo n nini akajibu yuko busy na mambo ya kimungu.
baadae akanambia nimpe mda amuulize Mungu kama kweli Mimi mtu sahihi kwake.
baada ya miaka 2 ndo ananitafta kuwa ananipenda lakin nimpe miez sita ili watumish wamuombee na kuona katika maono kama kwel Mimi ndo nafaa kuwa Mme wake japo ktk ndoto ananiota Mimi.
japo nampenda lakin nimeamua kumu engage bint mwingine ili akiisha miezi sita aliyoomba nimpe kadi ya mwaliko wa harus yangu

Ngoja nizungumzie upande mmoja.
Wanawake wengi hufikiri kutongozwa ndiyo kupendwa. Akikutana na mitongozo mingi anahisi anaweza kuolewa wakati wwte.
Wanawake wanapopata mtu anayempenda kwa dhati na kumjali (Hawapati bugudha ya mapenzi), huwa wanadeka na kujisahau na wakiangalia huko nje mitongozo mingi na kuhongwa basi wanajua hata nikiachana na huyu nitaolewa tu.
Utashangaa anakuacha kwa dharau na kebehi, inapita hata miaka 3 unashangaa karudi tena kwa kasi ila kiukweli huko hajapata kile km alichokuwa anakipata kutoka kwako.
Huyu mpotezee atakusumbua
 
Nadhan huja nielewa

M sijamlaumu Mungu mkuu

Ila nacho sema mm n kuwa Mungu katupa uwezo wa kupembua mema na mabaya
But wew hata kitu cha kuonekana 2 unaenda kuuliza kwa Mungu
Huo n usumbufu na kuwazibia nafas watu walio na shida serious kwa Mungu
Sawa na wew umpeleke mwanao shule AF kila hesab anakuja Kuku uliza hata ile ambayo n nyepes

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mzigo anatoa ila kuolewa ndo akafunge maombi huyo dada ni mnafiki sana na walokole wengi wa kike ni wabaya na wachafu kitabia ovyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unakosea kutoa kauli hii...Mungu ana haki ya kuombwa na Mungu asiingizwe kwenye lawama yoyote kwenye masuala yote

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Hawa wanawake wanaojifanya walokole ni wapumbavu sana.

Utasikia anasema nipo na yesu "

Mwanaume ni yesu tu".

Hata hakili zao hazipo vizuri.we hu fulani hivi!!
 
Duuu ila hao wengi hawafai kuwa wake wa kuoa wana tabia zao ngumu sana. Wabishi viburi roho mbaya kwao kila kitu dhambi. Wa aina hyo waachie wachungaji
Hahahahahahahaaahahahaha...

Vichaa wenzao.
 
Tatizo yeye anachukulia mambo juu juu. Kwa upande wangu naona angemuuliza au kama kamtosa pia angemfahamisha kuliko hivyo alivyofanya.

Kwa sababu huko aliko mwenzake anafanyiwa maombi akitegemea mwenzake yupo anamsubiri.
Mbona unakua na mtazamo wa upande mmoja tu??? kwamba yule ndio afikiriwe zaid na mahitaji yake yatimizwe lakini sio huyu???

What if huko maombini akaja n jibu "Mungu wake kamwambia huyu sio mumewe mtarajiwa"??? huo mda jamaa aliopoteza atarudisha vipi???

Dunia haijawah kua fair, kila maamuz mara nying n upanga unaokata pande mbil, leo utakutetea kesho utakufyeka
 
Utoto uko wapi mkuu wakati mwenzake kafuata anachokiamini na mtoa uzi akakubaliana nacho kwa sababu ukisoma mwanzo hadi mwisho hakuna anapoonyesha kwamba aliichukia hiyo tabia.
'Ili akiisha miez sita aliyoomba nimpe kadi ya mwaliko wa harusi yangu"

mkuu hii kaul uliiona?? uliruhusu akili yako iichambue walau kwa dakika kadhaa???

Japo mleta mada hajafunguka sana, lakn hii kaul iko uchi kabisa kama nanii ya mbwa, hii kaul n matokeo ya jambo walilokwsha jadili bila fikia mwafaka na kila mtu akaondoka na lake alilo amini n sahihi kwake,

Mwanamke anamhitaj jamaa ila hana haraka na ndoa, jamaa muda wake wa kujenga familia ushafika na maswala ya kukaa miez 6 akisubiri jibu ambalo n 50/50 n upotevu wa muda wa kukusudia

Kitu ambacho wanawake mnashindwa elewa kuhusu sisi wanaume, haya maswala mara nying kwetu sisi wanaume yanakua driven by nature, huwez mshawish mwanaume aoe.. inakuja tu naturally, na inapokuja hakuna namna utaweza mzuia asifanye hayo maamuzi
 
Mbona unakua na mtazamo wa upande mmoja tu??? kwamba yule ndio afikiriwe zaid na mahitaji yake yatimizwe lakini sio huyu???

What if huko maombini akaja n jibu "Mungu wake kamwambia huyu sio mumewe mtarajiwa"??? huo mda jamaa aliopoteza atarudisha vipi???

Dunia haijawah kua fair, kila maamuz mara nying n upanga unaokata pande mbil, leo utakutetea kesho utakufyeka
Hivyo huyo alivyochumbia huko amefanya sahihi ama?
 
Hivyo huyo alivyochumbia huko amefanya sahihi ama?
Ni sahihi kwake yeye

Hivi ndani ya hiyo miaka miwil yote waliyotengana, jamaa unadhan alikua free tu bila mtu???

Na pia,, umejaribu mfikiria huyo aliechumbiwa akipigwa chini ni unyama kias gani atakua amefanyiwa???
 
Back
Top Bottom