Habari wana jamvi,
Kuna binti wa kilokole nilimpenda sana tukaishi katika mapenzi mwaka mmoja na nusu baada ya hapo akanigeuka akakata mawasiliano nilipomuuliza tatizo ni nini akajibu yuko busy na mambo ya ki- Mungu.
Baadae akaniambia nimpe mda amuulize Mungu kama kweli mimi mtu sahihi kwake baada ya miaka 2 ndo ananitafuta kuwa ananipenda lakinu nimpe miezi sita ili watumishi wamuombee na kuona katika maono kama kweli miimi ndo nafaa kuwa mume wake japo katika ndoto ananiota mimi.
Japo nampenda lakini nimeamua kumu engage binti mwingine ili akiisha miezi sita aliyoomba nimpe kadi ya mwaliko wa harusi yangu.
Kuna binti wa kilokole nilimpenda sana tukaishi katika mapenzi mwaka mmoja na nusu baada ya hapo akanigeuka akakata mawasiliano nilipomuuliza tatizo ni nini akajibu yuko busy na mambo ya ki- Mungu.
Baadae akaniambia nimpe mda amuulize Mungu kama kweli mimi mtu sahihi kwake baada ya miaka 2 ndo ananitafuta kuwa ananipenda lakinu nimpe miezi sita ili watumishi wamuombee na kuona katika maono kama kweli miimi ndo nafaa kuwa mume wake japo katika ndoto ananiota mimi.
Japo nampenda lakini nimeamua kumu engage binti mwingine ili akiisha miezi sita aliyoomba nimpe kadi ya mwaliko wa harusi yangu.