Bila sababu yoyote ile, ya msingi.Kisa nini.. Ila hawa mbwa hawa, ni waonevu kufuru, wakati mwingine mtu unatamani uwe mchawi ghafla umtoe mtu kishipa
Sina account tweeter, wala sina mjadala wowote nilioshirikUwe Makin skunyingine ile mijadala ya kwenye spaces huko Twitter wenzako huwa tunaiacha kulekule ukiifanyia kaz ndo kinacho kukuta hicho alaf wale washauri wamejificha
Bas ukipona nenda tena kawaulize walikupiga kwasababu gani au walivuta bangeSina account tweeter, wala sina mjadala wowote nilioshirik
Hahahahaha nimecheka hio ID ya mzee wa kuliamusha dudeeNtatoa kifupi tu. Nilikamatwa na polisi nilipigwa na kuteswa kama mnyama kisha wakadai walipwe waniachie, la sivyo nilikua nakufa ndugu zangu,
Sijui nifanye nn. Bado naumwa saana
Mkuu jeshi la kikoloni linasulubu kila mtuMkuu kuna vitu hujaweka wazi.
Hebu weka wazi tujue ulionewaje.