Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Ss km.upo kwangu kwa nnn uctoke
 
Ukizingatia jamaa ana stress za kuyumba kiuchumi

Nadani Tatizo kupigwa makofi kila Mara,
Nadhan chanzo Kiko hapa Hapa


"tena me wananiitaga mdomo pistol maana maneno yanayonitoka nikikasirika ni kama pistol....."
Huyu mwanamke pia ana shida tu nyingi japo hatujui maana yuko kwenye upande wa kutaka huruma ila nasema usimwamini mwanamke hata mama yako akikueleza ujinga wa baba yako..... Alikosea Hawa kiumbe wa kwanza wa kike sembuse hizi Malaya
 
Hii stori imelalaia upande mmoja hii.

Kila Mara unalalamika vipigo, vipigo, mnyanyaso ila chanzo husemi.

Sitaki kuamini mume wako uyo anamashetani TU, anaamka anakupiga bila Sababu.

Mtoa mada Kuna kitu unatuficha
Nimeshaeleza huyu anataka sympathy....lakini hatapata zaidi ya ishara za yona
 
Narudia tena, nasema hivi...msichana, mdada, mwanamke usiingie kwenye uhusiano na mtu unaye mzidi kipato. Usijaribu. Usiponisikiliza shauri yako.
 
Wewe Ni Mwanamke Jembe huyo Jamaa Amekosa Jembe lakini nilichojifunza Sanaa Kwenye Ndoa Nyingi hamuwezi Kuendana Kabisa %lazima kutakuwa Na Tofauti Kama Sio Mwanamke Basi mwanaume Ako na Shida Hiyo Nimeiona Na Pia Lazima Ili udumu Kwenye Mahusiano na Mwenzako lazima Mmoja Ajishushe Ili Mdumu Kama Sio hivyo hamuwezi kidumu Kabisa Mf Umejitolea Wewe Mwenyewe Ukiwa na Hasira Unaongea Mpaka Basi hapo Ndo Kwenye Shida Maana hayo Maongezi lazima Umguse Jamaa Kama Kabweteka analala tuu Ndani wee unamlisha Na Kila Kitu Bill Zote unasimamia Wewe Sasa hapo na Sisi Wanaume Ndo hatutaki kusikia Kama Zaifu hata Kama Ni Kweli Tuko Shida Hiyo
 
"Harusi ilinimalizia akiba yangu yote".

Ikila kwa kungwi ile na kwa mwali. Sisi hugaramikia kila kitu na mkifika ndani mnaanzq maigizo. Tulieni dawa iwaingie
 
Hii stori imelalaia upande mmoja hii.

Kila Mara unalalamika vipigo, vipigo, mnyanyaso ila chanzo husemi.

Sitaki kuamini mume wako uyo anamashetani TU, anaamka anakupiga bila Sababu.

Mtoa mada Kuna kitu unatuficha
Mtu mwenyewe anaitwa mdomo pistol. Ndio maana mwamba alikua anamgonga
 
Mwanamke hatakiwi kukuzidi uchumi
 
Hii stori imelalaia upande mmoja hii.

Kila Mara unalalamika vipigo, vipigo, mnyanyaso ila chanzo husemi.

Sitaki kuamini mume wako uyo anamashetani TU, anaamka anakupiga bila Sababu.

Mtoa mada Kuna kitu unatuficha
Alisema yeye mdomo pistol, mdomo mweusiiii
 
Story za upande mmoja, hasa ke huwa wanajijazia nyama sana aisee.

Yeye kosa lake ni moja tu kua na mdomo pistol na anakili nae alikua mchepukaji, sasa sijui kwanini kamkalia sana jamaa kooni.
 
Alafu anatokea kiroboto mmoja anasema kuwa single mother Ni kujitakia,Ni kutokujitunza daah. Pole Sana mkuu
Mi na shangaa Sana wanaolaumu single mothers bila kulaumu wanaume waliowapa mimba....ukweli ni kwamba Hawa wasingekuwapo kama wafungua zip kabla ya ndoa angekuwa hawako.... Give single. Mothers respect..... 🙏
 
Mi kilichoniuma ni kumuharibu kisaikolojia huyo mtoto, ni very innocent. Kuachwa kwa demu hakunishtui, maana kajitakia mwenyewe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…