kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,930
Habarini ndugu zangu,
Mwenye kujua nilijiandikisha kwenye daftari la wapiga kura mwaka 2015, ila mwaka huu sikwenda kwenye kufanya uhakiki wa mpiga kura kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Je, mwaka huu October nikienda na kitambulisho changu (ambacho bado ninacho) maeneo nilikojiandikisha mwaka 2015, jina langu nitalikuta au ndio sina tena sifa za kupiga kura?
Mwenye kujua nilijiandikisha kwenye daftari la wapiga kura mwaka 2015, ila mwaka huu sikwenda kwenye kufanya uhakiki wa mpiga kura kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Je, mwaka huu October nikienda na kitambulisho changu (ambacho bado ninacho) maeneo nilikojiandikisha mwaka 2015, jina langu nitalikuta au ndio sina tena sifa za kupiga kura?