myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 615
- 234
waungwana nilisahau kubisha hodi tafadhalini mniwie radhi na ninawaomba mnipokee rasmi
Mkuu ulipitiliza hadi uwani pasipo ruhusa ya wakuu wa kaya? Nway hapa tu wema hatuna kwere, nidhamu ndio muhimu tuwaungwana nilisahau kubisha hodi tafadhalini mniwie radhi na ninawaomba mnipokee rasmi
Karibu sana Myao wa tunduru. Umetuletea samaki-mchanga?