BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Hujakua...
Mie nashangaa sana mwanaume anayemtia mwanamke mimba kwa kumkomoa haoni hata uchungu kuona damu yake inapotea...hapa huwa pananifanya niwakubali sana wachaga.
inapotea kivip? Mtoto atapata huduma zote anazostahili .... Hyo ndiyo fimbo yenu nyinyi najua ukizalishwa tayar utakuwa umepungua soko
Unaonekana bado unampenda na ulipoona amezalishwa imekuuma sanaaa....kwa hyo unatafuta jinsi ya kujipoza maumivu...pole
sio kwamba siwez kusamehe ila kinacho nikera kwanini ajilete wakat amezalishwa? Inamaana mm ndio wa kuhudumia watoto wa watu? Au mm ndio nastahili kuishi na mwanamke used? Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hv amegalagazwa huko mpaka wamemtelekeza halafu ndio anakuja kwangu kwan mm ni jalala?
sio ukatili ila namshikisha adabu. Na siku ya kumpiga chini ntakuja kumwambia kuwa nakufanyia haya kwasababu ya yale uliyonifanyia kipindi hicho