Kisa hk kinafanana kdogo na changu, yalinikuta haya:
Wakati tupo shule kuna mdada nilikuwa nampenda sana tena sana lakini kila nikimweleza mwenzangu hataki na ananitukana ile mbaya, mara ooh wewe ni mfupi sana, sura mbaya, kichwa kibaya huna HADHI ya kutembetea au kulala na mtu kama mimi, koma tena na ukomae kunifuatilia nitakuaibisha huko mbele, sitaki kupata fedheha mbele za watu eti natembea na wewe.
Kuna siku nyingine nikathubutu kumwandikia barua na vizawadi kidogo habadani mtoto wa watu akaja kuisomaa ile barua mbele ya watu tukiwa dinning tunakula na kunitupia tule tuvipodozi na vinguo nilivyompa.
Nikajipa moyo konde maisha yakaenda, ila juzi nimekutana naye kachoka ile mbaya ananishobokea sana, nikamkubalia na kumpele louge.
Nikamvua nguo zote na kumchezea hadi huko chini ile nilivyoona amenyegeka vya kutosha anasubiri tu nimgegede ghafla nikaamka na kuvaa nguo zangu kisha nikamsimulia yote yaliyotokea huko nyuma na kusepa zangu.
Nikamwacha analia sana na hamu zimemzidia.