Nilichosikia Kutoka Kwa Kinamama wa Chuga, Endapo Uchaguzi Utafanyika Kesho

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,756
21,220
Tembea ufunzwe na dunia, ni sehemu ya msemo hama methali maarufu miongoni mwetu, mafundi genereta kwa sasa wanasema kufa kufaana 😐!.

Nikiwa kwenye pilikapilika zangu za kuutafuta mkate wa siku, mara mgambo wamepita wakiwa kwenye pickup tatu wakitokea maeneo ya mnara wa mwenge ni hapo jijini Arusha.

Sikujua walipokuwa wanaelekea ila kutokana na usafi unaondelea nchini wa kuondoa wafanyabishara ndogondogo a.k.a machinga nilitambua kinachofuatia

Niliibukia maeneo ya Kaloleni jirani na jengo la nssf mbele yake kulikuwa na kinamama waliokuwa wanauza t-shirt.

Maongezi yao yalikuwa na maneno haya, "... uchaguzi ukifanyika na tukiwekewa picha ya Magufuli tutaipigia kura" niligeuka na kuwatizama huku nikiwaza mambo kadha wa kadha na kujisemea moyoni, 'mmh kuna kazi'.

Maoni yangu kwa washika dau wote, pamoja na kuwepo matatizo kadhaa kama mgao wa umeme, maji nk, kuna haja ya kuwa makini na upande wa pili wa shilingi
 
Tembea ufunzwe na dunia, ni sehemu ya msemo hama methali maarufu miongoni mwetu, mafundi genereta kwa sasa wanasema kufa kufaana !.

Nikiwa kwenye pilikapilika zangu za kuutafuta mkate wa siku, mara mgambo wamepita wakiwa kwenye pickup tatu wakitokea maeneo ya mnara wa mwenge ni hapo jijini Arusha.

Sikujua walipokuwa wanaelekea ila kutokana na usafi unaondelea nchini wa kuondoa wafanyabishara ndogondogo a.k.a machinga nilitambua kinachofuatia

Niliibukia maeneo ya Kaloleni jirani na jengo la nssf mbele yake kulikuwa na kinamama waliokuwa wanauza t-shirt.

Maongezi yao yalikuwa na maneno haya, "... uchaguzi ukifanyika na tukiwekewa picha ya Magufuli tutaipigia kura" niligeuka na kuwatizama huku nikiwaza mambo kadha wa kadha na kujisemea moyoni, 'mmh kuna kazi'.

Maoni yangu kwa washika dau wote, pamoja na kuwepo matatizo kadhaa kama mgao wa umeme, maji nk, kuna haja ya kuwa makini na upande wa pili wa shilingi.
Hao kina Mama wangeulizwa fedha zao za vitambulisho ziko wapi na zimefanyia shughuli gani?
 
Tembea ufunzwe na dunia, ni sehemu ya msemo hama methali maarufu miongoni mwetu, mafundi genereta kwa sasa wanasema kufa kufaana !.

Nikiwa kwenye pilikapilika zangu za kuutafuta mkate wa siku, mara mgambo wamepita wakiwa kwenye pickup tatu wakitokea maeneo ya mnara wa mwenge ni hapo jijini Arusha.

Sikujua walipokuwa wanaelekea ila kutokana na usafi unaondelea nchini wa kuondoa wafanyabishara ndogondogo a.k.a machinga nilitambua kinachofuatia

Niliibukia maeneo ya Kaloleni jirani na jengo la nssf mbele yake kulikuwa na kinamama waliokuwa wanauza t-shirt.

Maongezi yao yalikuwa na maneno haya, "... uchaguzi ukifanyika na tukiwekewa picha ya Magufuli tutaipigia kura" niligeuka na kuwatizama huku nikiwaza mambo kadha wa kadha na kujisemea moyoni, 'mmh kuna kazi'.

Maoni yangu kwa washika dau wote, pamoja na kuwepo matatizo kadhaa kama mgao wa umeme, maji nk, kuna haja ya kuwa makini na upande wa pili wa shilingi.
Hizo akili za namna hii ...Ni mjinga tu ndie atakuunga mkono
 
Magufuli sikumkubali sana,kwa staili ya uongozi wake

Lakini asubuhi siku ile naamka nawasha runinga nakutana na taarifa ya msiba,nilihuzunika sana

Nahamisha channel nikakutana na wimbo mmoja wa maombolezo hakika nililia Machozi

MUNGU akuweke mahali pema peponi Magufuli



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tembea ufunzwe na dunia, ni sehemu ya msemo hama methali maarufu miongoni mwetu, mafundi genereta kwa sasa wanasema kufa kufaana !.

Nikiwa kwenye pilikapilika zangu za kuutafuta mkate wa siku, mara mgambo wamepita wakiwa kwenye pickup tatu wakitokea maeneo ya mnara wa mwenge ni hapo jijini Arusha.

Sikujua walipokuwa wanaelekea ila kutokana na usafi unaondelea nchini wa kuondoa wafanyabishara ndogondogo a.k.a machinga nilitambua kinachofuatia

Niliibukia maeneo ya Kaloleni jirani na jengo la nssf mbele yake kulikuwa na kinamama waliokuwa wanauza t-shirt.

Maongezi yao yalikuwa na maneno haya, "... uchaguzi ukifanyika na tukiwekewa picha ya Magufuli tutaipigia kura" niligeuka na kuwatizama huku nikiwaza mambo kadha wa kadha na kujisemea moyoni, 'mmh kuna kazi'.

Maoni yangu kwa washika dau wote, pamoja na kuwepo matatizo kadhaa kama mgao wa umeme, maji nk, kuna haja ya kuwa makini na upande wa pili wa shilingi
Bila picha kwenye uzi wako, unabakia ni uzi wa propaganda tu na wenye mrengo wa kama stori za kwenye kahawa.

Acheni hizo.
 
Back
Top Bottom