Usiku umeviona vibabu vinakula na kutapikia chakula halafu asubuhi unampa mtoto wa jirani anakwambia huoni kama chakula kimechezewa unashangaa dogo ameona halafu wewe huoni[emoji3]
Ngoja nipige zangu kiporo changu cha wali na maharage nkimaliza niende nkalijenge taifa