Nilichokiona Shinyanga

Nilichokiona Shinyanga

Hayo ni mambo ya karne iliyopita. Mbeya hakuna baiskel zinazobeba abiria ,, hata vijijin hakuna
Hamtumii Baiskeli sana kwakuwa Maeneo yenu ni milima.. huku ni tambarare na baiskeli ndio usafri wa mnyonge... kwa miaka mingi mno.
 
6. Waendesha daladala hawakushushi mahala hata kama ni mlima atakukokota tu maana upo kwenye daladala.
HAPO SIJAELEWA
 
Wakuu habari zenu,

Nimepita hapa kuwamegea kidogo mambo machache ya kustajabisha niliyoyaona wiki tatu zimepita nikiwa nimetembelea Manispaa ya Shinyanga.

Mambo yenyewe ni:-

1.Mji kuna vumbi na vimbunga vidogovidogo vyenye kasi hupita kila mara.

2.Watoto wa shule ya msingi na sekondari wanaonekana kupita wakirudi shule jioni huku wakiendesha baiskeli kwa umahiri.

3. Nimeona wamama wakiendesha baikeli kwa ustadi.

4.Nimemuona mmama wa karibu miaka 50 na kuendelea akiendesha bodaboda.

5.Baiskeli ni nyingi kuliko bodaboda na zinaitwa daladala kupanda kwa umbali ambao pikpiki itakupeleka kwa buku yenyewe unalipa tsh 300 tu.

6. Waendesha daladala hawakushushi mahala hata kama ni mlima atakukokota tu maana upo kwenye daladala.

7. Nyama ya Mbuzi choma portion ya elfu tano ni kubwa sawa na ya elf 15 huku Dar.

8.Kuna kiwanja kizuri cha kuburudika na kupata chakula jioni,ghorofa la NSSF panaitwa level 4.

9. Ukihitaji huduma ya mambo yetu yale unamwambia mhudumu wa loji/hotel anapiga simu mtu anakuja fasta, ila asubuhi unatakiwa umtoe si chini ya 30.
Hapo kwenye 9# vp madem wenyewe wanalipa au ndio hivyo basi tu ukiwa na njaa huchagui chakula?
 
Hayo ni mambo ya karne iliyopita. Mbeya hakuna baiskel zinazobeba abiria ,, hata vijijin hakuna
Acha hizo kiongozi hii kitu ni kama utamaduni wa mahala husika, Mbona na nyie huko mbeya makanisa ni mengi sana lakini kuuana napia ushirikina ni balaa.
 
Back
Top Bottom