Nilichokiona jana kwenye daladala ya kwa Morombo-Arusha

Chunga sana kutembea usiku maeneo ambayo wewe sio mwenyeji. Pia kuwa makini sana ikishafika usiku hiyo njia kuanzia Kilombero mpaka mbele kidogo ya Soko Mjinga (Embassy Garage) hiyo njia hapo ina wahuni wa Ngarenaro ukijichanganya tu hata ukiwa kwenye gari unapigwa tukio fresh tu.

Nimekaa sana hapo Back Town (Ngarenaro) watu wanapigwa matukio hata mchana kweupe kwenye magari yani kibaka anakuwa kama anavuka road ukiwe kioo kipo wazi na unachat au unaongea na simu inatembea au hata pochi. Na ubaya wa hapo Ngarenaro mpaka Soko Mjinga yani ukivula tu lami upande wa chini hatua tano ushaingia vichocho so mwizi akikwapua tu hatua tano humuoni ni machocho yakufa mtu huko huingii kama sio mwenyeji hata kama ni mchana.

Usiku ukipita kwa mguu imekula kwako. Ukipata breakdown hayo maeneo imekula. Machalii wa Matejoo na Ngarna ndio kituo chao cha kazi hiyo road kuanzia mida ya saa moja usiku.

Kuhusu wizi kwenye vi hiace (vifodi) au coaster (baadhi ya sehemu zipo coaster) hilo sio kwa Morombo tu au Olasiti kama ulivyosema mleta mada. Hilo ni suala la nchi nzima popote pale ukikaa kiree hasa kwenye haya mausafiri ya kunabanana lazima wahuni wakuoshe.
 
Mjini kama jambo halikuhusu bora upotezee tu hata kama unaona upande fulani unakosea.....unaweza jikuta unaathirika tu bila sababu......nakujikuta unapotezewa muda bure
 
Mkuu unesahau, Sanawari, matejo, Kuna tengeru baba na kwa fundi acha kabisa sijawahi kuibiwa miaka karibu kumi nimekaa Arusha mpaka nimehama ila napajua vema kwa matukio hayo,, mkienda moshi pia muwe makini na njoro na kiboroloni
Tengeru kunaitwa kwa mafundi simu
 
Habari za saa wana Jf,

Jana majira ya saa moja usiku nilipanda daladala ya kwenda kwa moromboo,wenyeji wa arusha bac mtakuwa mnaelewa huu mtaa kwa sifa za matukio mengi ya wizi kwenye daladala na hata mtaani,na waathirika wengi wa haya matukio ni kina mama na wadada ndio wanakuwa wa hanga wakubwa kwenye haya matukio ya uporaji mtaani na wizi kwenye daladala.

Bac nirejee kwenye tukio nililoliona jana ambapo kulikuwa na mama mmoja alikuwa amekaa siti ya nyuma kabisa wengi wanapenda kuita ubalozini,kipindi mama huyu ameketi akiwa anasubiri safari yake imalizike salama kabisa bila shida yoyote ghafla mama huyo akamwambia konda asimamishe gari kwenye kituo anachoshukia,konda bila hiyana yoyote akatii kauli ya abiria wake na gari ikasimama,alivyoshuka huyo mama kabla gari halijaondoka akamwambia konda kwa sauti kubwa na nukuu "pale nyuma kuna mwizi".abiria wote wakaanza kunongo'na kwa chini kama hawajali,ikumbukwe kondaa huyo na dereva ni vijana wa around miaka 30s,bac konda na dereva wake wakamuambia yule mwizi ashuke chini wakati uo yule mama akiwa bado anaongea jinsi yule mwizi alivyokuwa anataka kumuibia kipochi chake lakin hakufanikiwa,yule mwizi akatii amri na kushuka chini akiwa anasubiriwa kwa matamanio makubwa na bodaboda kwenye kile kituo,alivyo chuka chini alika ribishwa na kichapo kikali na umati uliokuwa una msubiria chini ikiwemo bodaboda,dereva na kondakta,wakati yule mwizi anapata adhabu akajitokeza abiria mmoja alikuwa amekaa siti karibu na mlango wa daladala akiwa anajaribu kumtetea yule mwizi asipigwe,

Kwa kwel sikuamin macho yangu ,yule mzee alijikuta anageuziwa kichapo na kondakta na dereva kwa kupigwa vibao 6 bila kujua vimetoka wap,huku abiria wote wakistaajabu mzee alivyo tolewa mfano,ikumbukwe abiria na wao hasa kina mama walikuwa wana mtetea yule mwizi kwa kusema asipigwe,lakin kwa bahati mbaya yule mzee alijikuta akitoa sauti zaid
kuliko abiria wote na kutaka kushuka ili kumtetea yule mwizi,sasa pakawa na matukio mawili kwa wakati mmoja,

Kwa tukio hilo wakati mzee anapigwa makofi na ngumi na umati mchache akiwemo konda,dereva na bodaboda,akiwa anaambiwa "usijaribu kumtetea mwizi hata siku moja unaweza uka chomwa moto"bac yule mwizi akawa amesaulika na kuponyoka akiwa ameshachezea kipigo cha dakika chache wakati uo abiria wakiwa wanaogopa kuongea tena na kushuudia mzee wa watu ana chapwa makofi na vijana wadogo wakiwa wanasema kwa nn ana mtetea mwizi au anamjua?.roho iliniuma ila sikuweza fanya chochote kuhofia kuwekwa mfano kwa kujaribu kutetea yule mzee asipigwe,

Kwa kuelezea kidogo konda alikuwa na hasira mbaya sana akiwa anatoa mate mdomon na kumshika yule mzee shati akiwa anampiga ila mwishowe mzee aka achiwa akiwa bado ndan ya gari,bac safari ikaendelea ila bado abiria walikuwa wanaongea tukio la yule mwizi na yule mzee,wakati huo derava na konda wanasema "abiria wanalamikaga wanaibiwa ndani ya daladala wakisema konda na dereva ndio wanashirikiana na wezi kuiba ila wezi wakikamatwa abiria wana watetea tena".ila nilichokiona kwa huyo konda na dereva walikuwa ni watu wa tofauti waki pambana kutoa adhabu kwa mwizi bila kuchelewa.safari ya mzee wa watu ikafika tamati na kushuka kimya bila kuongea na mtu akiwa na upole wa hali ya juu.

Mwisho: wale wote wanaokuja arusha wawe makini sana na haya maeneo hasa usiku
-1.Moromboo
-2.Ungalimited
-3Olasiti


#pole sana mzee kwa yale makofi inasikitisha sana vijana wadogo wanampiga mzee wa miaka around 50s kwa kujaribu kumtetea mwizi ndani ya daladala.
Hata Warioba alipigwa na Makonda! Si ni life tu
 
Kilichoniuma ni mzee kupigwa makofi na konda bila kuangalia umri wake
Bila shaka hujawahi kuibiwa na huyajui maumivu yake.

Siku ukiibiwa ndio utaelewa kwanini mzee aligeuziwa vibao na mwizi akaachwa na kusepa
 
Wewe kwa maoni yako unaonaje huyo chalii aliyechezea kichapo ana sura ya wizi wizi??
alikuwa anaonekana mwizi kwa maana abiria walokuwa wamekaa na yy walihic anachokonoa mkoba wa mama pemben
 
Bila shaka hujawahi kuibiwa na huyajui maumivu yake.

Siku ukiibiwa ndio utaelewa kwanini mzee aligeuziwa vibao na mwizi akaachwa na kusepa
nilishaibiwa ,ila tu mzee alionewa na vijana wadogo
 
Habari za saa wana Jf,

Jana majira ya saa moja usiku nilipanda daladala ya kwenda kwa moromboo,wenyeji wa arusha bac mtakuwa mnaelewa huu mtaa kwa sifa za matukio mengi ya wizi kwenye daladala na hata mtaani,na waathirika wengi wa haya matukio ni kina mama na wadada ndio wanakuwa wa hanga wakubwa kwenye haya matukio ya uporaji mtaani na wizi kwenye daladala.

Bac nirejee kwenye tukio nililoliona jana ambapo kulikuwa na mama mmoja alikuwa amekaa siti ya nyuma kabisa wengi wanapenda kuita ubalozini,kipindi mama huyu ameketi akiwa anasubiri safari yake imalizike salama kabisa bila shida yoyote ghafla mama huyo akamwambia konda asimamishe gari kwenye kituo anachoshukia,konda bila hiyana yoyote akatii kauli ya abiria wake na gari ikasimama,alivyoshuka huyo mama kabla gari halijaondoka akamwambia konda kwa sauti kubwa na nukuu "pale nyuma kuna mwizi".abiria wote wakaanza kunongo'na kwa chini kama hawajali,ikumbukwe kondaa huyo na dereva ni vijana wa around miaka 30s,bac konda na dereva wake wakamuambia yule mwizi ashuke chini wakati uo yule mama akiwa bado anaongea jinsi yule mwizi alivyokuwa anataka kumuibia kipochi chake lakin hakufanikiwa,yule mwizi akatii amri na kushuka chini akiwa anasubiriwa kwa matamanio makubwa na bodaboda kwenye kile kituo,alivyo chuka chini alika ribishwa na kichapo kikali na umati uliokuwa una msubiria chini ikiwemo bodaboda,dereva na kondakta,wakati yule mwizi anapata adhabu akajitokeza abiria mmoja alikuwa amekaa siti karibu na mlango wa daladala akiwa anajaribu kumtetea yule mwizi asipigwe,

Kwa kwel sikuamin macho yangu ,yule mzee alijikuta anageuziwa kichapo na kondakta na dereva kwa kupigwa vibao 6 bila kujua vimetoka wap,huku abiria wote wakistaajabu mzee alivyo tolewa mfano,ikumbukwe abiria na wao hasa kina mama walikuwa wana mtetea yule mwizi kwa kusema asipigwe,lakin kwa bahati mbaya yule mzee alijikuta akitoa sauti zaid
kuliko abiria wote na kutaka kushuka ili kumtetea yule mwizi,sasa pakawa na matukio mawili kwa wakati mmoja,

Kwa tukio hilo wakati mzee anapigwa makofi na ngumi na umati mchache akiwemo konda,dereva na bodaboda,akiwa anaambiwa "usijaribu kumtetea mwizi hata siku moja unaweza uka chomwa moto"bac yule mwizi akawa amesaulika na kuponyoka akiwa ameshachezea kipigo cha dakika chache wakati uo abiria wakiwa wanaogopa kuongea tena na kushuudia mzee wa watu ana chapwa makofi na vijana wadogo wakiwa wanasema kwa nn ana mtetea mwizi au anamjua?.roho iliniuma ila sikuweza fanya chochote kuhofia kuwekwa mfano kwa kujaribu kutetea yule mzee asipigwe,

Kwa kuelezea kidogo konda alikuwa na hasira mbaya sana akiwa anatoa mate mdomon na kumshika yule mzee shati akiwa anampiga ila mwishowe mzee aka achiwa akiwa bado ndan ya gari,bac safari ikaendelea ila bado abiria walikuwa wanaongea tukio la yule mwizi na yule mzee,wakati huo derava na konda wanasema "abiria wanalamikaga wanaibiwa ndani ya daladala wakisema konda na dereva ndio wanashirikiana na wezi kuiba ila wezi wakikamatwa abiria wana watetea tena".ila nilichokiona kwa huyo konda na dereva walikuwa ni watu wa tofauti waki pambana kutoa adhabu kwa mwizi bila kuchelewa.safari ya mzee wa watu ikafika tamati na kushuka kimya bila kuongea na mtu akiwa na upole wa hali ya juu.

Mwisho: wale wote wanaokuja arusha wawe makini sana na haya maeneo hasa usiku
-1.Moromboo
-2.Ungalimited
-3Olasiti


#pole sana mzee kwa yale makofi inasikitisha sana vijana wadogo wanampiga mzee wa miaka around 50s kwa kujaribu kumtetea mwizi ndani ya daladala.
Hao vibaka wa arusha ni wazembe sana uwa wanajifanya nao ni abiria wakishaiba ndani ya hiace wanashukia njiani, mi kuna kipindi 2018 nilipanda nao kwa mrombo-kilombero wakanipiga tecno y3 yangu wakataka kushukia corner ya mbauda nikastuka kucheck kwenye kibag sina simu nilishuka nao wakatoa simu😂😂wengine pia wanafahamiana na drivers na kondactors.
 
Mkiambiwa Mjini Muache Shobo Ndo Muelewe,Miaka ya 2010 Ubungo Nakatiza Zangu Ilikuwa Jumapili Saa 10-11 Hivi,Nkakuta Umati Wanaangalia Ule Mchezo Wa Karata,Kipindi Hio Machinga Kibao Pembezoni Mwa Barabara,Kidume Nkajisogeza Nione Watu Wanavyoliwa,Sasa Kukawa na Mama Mmoja Nae Akavutiwa Kuucheza Ule Mchezo,Karata Zikazungushwa Kama Kawaida Yao,Wa Nje Unaona Kabisa Hapa Kaliwa Au Kala,Mama Akakosea Si Nikashoboka Kumbonyeza Aweke Hela Kwenye Kula,Nilikula Vibao Viwili,Haki Ya Nani Sikuona Kilipotokea,Yani Hadi Leo Najiuliza Nani Alinipigaga,Niliondoka Hilo Eneo Kama Ambulance Hata Sikugeuka Nyuma,Nilijifunza Mipango ya Watu Ukiiona Iache Kama Ilivyo.

SHOBO Ukiwa Mjini Jizuie,Utaaibika 😁
 
Mkiambiwa Mjini Muache Shobo Ndo Muelewe,Miaka ya 2010 Ubungo Nakatiza Zangu Ilikuwa Jumapili Saa 10-11 Hivi,Nkakuta Umati Wanaangalia Ule Mchezo Wa Karata,Kipindi Hio Machinga Kibao Pembezoni Mwa Barabara,Kidume Nkajisogeza Nione Watu Wanavyoliwa,Sasa Kukawa na Mama Mmoja Nae Akavutiwa Kuucheza Ule Mchezo,Karata Zikazungushwa Kama Kawaida Yao,Wa Nje Unaona Kabisa Hapa Kaliwa Au Kala,Mama Akakosea Si Nikashoboka Kumbonyeza Aweke Hela Kwenye Kula,Nilikula Vibao Viwili,Haki Ya Nani Sikuona Kilipotokea,Yani Hadi Leo Najiuliza Nani Alinipigaga,Niliondoka Hilo Eneo Kama Ambulance Hata Sikugeuka Nyuma,Nilijifunza Mipango ya Watu Ukiiona Iache Kama Ilivyo.

SHOBO Ukiwa Mjini Jizuie,Utaaibika
Daa nimecheka sana utadhani mazuri, mjini kuna mambo aisee.
 
Back
Top Bottom