Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,489
- 70,276
Chunga sana kutembea usiku maeneo ambayo wewe sio mwenyeji. Pia kuwa makini sana ikishafika usiku hiyo njia kuanzia Kilombero mpaka mbele kidogo ya Soko Mjinga (Embassy Garage) hiyo njia hapo ina wahuni wa Ngarenaro ukijichanganya tu hata ukiwa kwenye gari unapigwa tukio fresh tu.
Nimekaa sana hapo Back Town (Ngarenaro) watu wanapigwa matukio hata mchana kweupe kwenye magari yani kibaka anakuwa kama anavuka road ukiwe kioo kipo wazi na unachat au unaongea na simu inatembea au hata pochi. Na ubaya wa hapo Ngarenaro mpaka Soko Mjinga yani ukivula tu lami upande wa chini hatua tano ushaingia vichocho so mwizi akikwapua tu hatua tano humuoni ni machocho yakufa mtu huko huingii kama sio mwenyeji hata kama ni mchana.
Usiku ukipita kwa mguu imekula kwako. Ukipata breakdown hayo maeneo imekula. Machalii wa Matejoo na Ngarna ndio kituo chao cha kazi hiyo road kuanzia mida ya saa moja usiku.
Kuhusu wizi kwenye vi hiace (vifodi) au coaster (baadhi ya sehemu zipo coaster) hilo sio kwa Morombo tu au Olasiti kama ulivyosema mleta mada. Hilo ni suala la nchi nzima popote pale ukikaa kiree hasa kwenye haya mausafiri ya kunabanana lazima wahuni wakuoshe.
Nimekaa sana hapo Back Town (Ngarenaro) watu wanapigwa matukio hata mchana kweupe kwenye magari yani kibaka anakuwa kama anavuka road ukiwe kioo kipo wazi na unachat au unaongea na simu inatembea au hata pochi. Na ubaya wa hapo Ngarenaro mpaka Soko Mjinga yani ukivula tu lami upande wa chini hatua tano ushaingia vichocho so mwizi akikwapua tu hatua tano humuoni ni machocho yakufa mtu huko huingii kama sio mwenyeji hata kama ni mchana.
Usiku ukipita kwa mguu imekula kwako. Ukipata breakdown hayo maeneo imekula. Machalii wa Matejoo na Ngarna ndio kituo chao cha kazi hiyo road kuanzia mida ya saa moja usiku.
Kuhusu wizi kwenye vi hiace (vifodi) au coaster (baadhi ya sehemu zipo coaster) hilo sio kwa Morombo tu au Olasiti kama ulivyosema mleta mada. Hilo ni suala la nchi nzima popote pale ukikaa kiree hasa kwenye haya mausafiri ya kunabanana lazima wahuni wakuoshe.