Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 811
- 1,311
Kwanza nianze kwa kukiri kuwa sina maslahi na upande wowote ule wa hii tasnia ya muziki,bali nikiwa kama mwananchi wa kawaida nilielipa 10,000 siku ya jana kushuhudia Fiesta ya Kahama.Burudani niliyojiwekea akilini kuwa may be ningeipata kwa wasanii waalikwa sikuipata hata kidogo.Shukrani sana kwa Sholo mwamba,man fongo na Msami,hawa tu ndio walinipoza hasira yangu na kunifanya niende kulala kwa Amani..ntajaribu kuchambua kwa kile nilichokiona kwa msanii mmoja mmoja ili angalau wajirekebishe sehemu zingine watakapoenda…
RAYMOND WA WCB
Alikuwa flop of the night..watu walitegemea kuona makubwa sana kutoka kwake lakini show aliyopiga ujinga ujinga tuuu…kwanza jamaa ni very predictable,habadiliki,alichokifanya mwanza ndicho alichokifanya kahama na naamini ndicho atakachofanya na sehemu nyingine pia.wakati wa show ana mistari yake anayopenda kuisema,yaan ni iyo iyo tu tangu kipindi kile yupo kama back vocal artist wa Madee mpaka leo msanii wa kujitegemea bado anaitumia iyoiyo,hajui kuwa wapenda burudani tumeshaijua na tumeikariri pia..kanichekesha Zaidi pale nilipoona kuwa hata nguo alizovaa Mwanza ndizo alizovaa Kahama.
NANDY
Upcomimg artist but alinikosha kwa alichokifanya na live band,alipiga show nzuri,she knows how to dance,ana pumzi na swaga pia anazo
MAUA SAMA
Huyu bora hata angeimba playback tu,alijifanya kuimba live matokeo yake mpaka nikamwonea hururma,full kuboronga mpaka nikamuonea huruma
JUX, CHRISTIAN BELLA,BONGE LA NYAU, BILLNAS
Walipiga show ya kawaida sana,hata billnasi sikutegemea show mbovu vile kutoka kwake
DARASA NA MR BLUE
Walijitahidi kidogo,walipata shangwe na walikuwa wakiimba pamoja na mashabiki
SHOLOMWAMBA
Kuna wakati nilitaka kusinzia,lakini niliamshwa na shangwe za watu pale tu waliposikia ‘ooooiii babaaaaaa’..jamaa alipiga show nzuri sana watu walienjoy na kucheza pamoja,sikuamini kuwa hata wasukuma wanaukubali mziki wa kisingeli namna ilee
JOH MAKINI
Huyu jamaa ni mwamba kweli,alipangwa kuwa msanii wa mwisho kuperform ili awe funga kazi kwa amsha amsha za kihiphop,hali haikuwa ivyo kama waandaaji walivodhani maana alipata shangwe kidogo tu kutoka kwa wananchi,wengi wao walikuwa wameshaondoka na wengi zaidi walikuwa mbali na jukwaa kutokana na kuwepo kwa vumbi jingi sana lililokuwa limetimuliwa na watu kwa kucheza mziki wa msanii(MAN FONGO) aliyetoka jukwaani mda mfupi kabla ya Joh Makini kupanda
MANFONGO
Nawashauri waandaaji wa Fiesta popote waendapo,kama Man fongo atakuwepo basi awe msanii wa mwisho kabisa kuperform,jamaa alipiga bonge la show,uwanja mzima ukawa kama vile tupo Syria,vumbi lilitimka,mpaka watu wakawa hawaonani,ikawa kama vile inanyesha mvua ya mchanga,mwisho watu wakaanza kukimbia mbali na jukwaa,kwa shangwe na hamsha hamsha aliyofanya ilibidi jamaa akatishe show kabla hajamaliza ndipo akapanda Joh Makini
MSAMI BABY
Nikiri tu wazi,kwa kiingilio changu cha sh 10,000 Msami pekee alinifanya nione hela yangu imeenda kihalali..Jamaa alipiga show ya Live,no playback,mchizi ana pumzi,energetic,zile choreograph na madancers wake daaamn…alishangiliwa na uwanja mzima,watu walienjoy mwanzo mwisho..ndo msanii pekee aliyeperform mda mrefu kuliko wengine wooote…kama uongozi wa Fiesta utakuwa unamlipa hela sawa na wasanii wengine basi itakuwa ni unyonyaji wa dhahili kabisa…nadiriki kusema kwa wasanii wanaoweza kupiga liveshow jamaa anaongoza Tanzania nzima..BIG UP KWAKE.
RAYMOND WA WCB
Alikuwa flop of the night..watu walitegemea kuona makubwa sana kutoka kwake lakini show aliyopiga ujinga ujinga tuuu…kwanza jamaa ni very predictable,habadiliki,alichokifanya mwanza ndicho alichokifanya kahama na naamini ndicho atakachofanya na sehemu nyingine pia.wakati wa show ana mistari yake anayopenda kuisema,yaan ni iyo iyo tu tangu kipindi kile yupo kama back vocal artist wa Madee mpaka leo msanii wa kujitegemea bado anaitumia iyoiyo,hajui kuwa wapenda burudani tumeshaijua na tumeikariri pia..kanichekesha Zaidi pale nilipoona kuwa hata nguo alizovaa Mwanza ndizo alizovaa Kahama.
NANDY
Upcomimg artist but alinikosha kwa alichokifanya na live band,alipiga show nzuri,she knows how to dance,ana pumzi na swaga pia anazo
MAUA SAMA
Huyu bora hata angeimba playback tu,alijifanya kuimba live matokeo yake mpaka nikamwonea hururma,full kuboronga mpaka nikamuonea huruma
JUX, CHRISTIAN BELLA,BONGE LA NYAU, BILLNAS
Walipiga show ya kawaida sana,hata billnasi sikutegemea show mbovu vile kutoka kwake
DARASA NA MR BLUE
Walijitahidi kidogo,walipata shangwe na walikuwa wakiimba pamoja na mashabiki
SHOLOMWAMBA
Kuna wakati nilitaka kusinzia,lakini niliamshwa na shangwe za watu pale tu waliposikia ‘ooooiii babaaaaaa’..jamaa alipiga show nzuri sana watu walienjoy na kucheza pamoja,sikuamini kuwa hata wasukuma wanaukubali mziki wa kisingeli namna ilee
JOH MAKINI
Huyu jamaa ni mwamba kweli,alipangwa kuwa msanii wa mwisho kuperform ili awe funga kazi kwa amsha amsha za kihiphop,hali haikuwa ivyo kama waandaaji walivodhani maana alipata shangwe kidogo tu kutoka kwa wananchi,wengi wao walikuwa wameshaondoka na wengi zaidi walikuwa mbali na jukwaa kutokana na kuwepo kwa vumbi jingi sana lililokuwa limetimuliwa na watu kwa kucheza mziki wa msanii(MAN FONGO) aliyetoka jukwaani mda mfupi kabla ya Joh Makini kupanda
MANFONGO
Nawashauri waandaaji wa Fiesta popote waendapo,kama Man fongo atakuwepo basi awe msanii wa mwisho kabisa kuperform,jamaa alipiga bonge la show,uwanja mzima ukawa kama vile tupo Syria,vumbi lilitimka,mpaka watu wakawa hawaonani,ikawa kama vile inanyesha mvua ya mchanga,mwisho watu wakaanza kukimbia mbali na jukwaa,kwa shangwe na hamsha hamsha aliyofanya ilibidi jamaa akatishe show kabla hajamaliza ndipo akapanda Joh Makini
MSAMI BABY
Nikiri tu wazi,kwa kiingilio changu cha sh 10,000 Msami pekee alinifanya nione hela yangu imeenda kihalali..Jamaa alipiga show ya Live,no playback,mchizi ana pumzi,energetic,zile choreograph na madancers wake daaamn…alishangiliwa na uwanja mzima,watu walienjoy mwanzo mwisho..ndo msanii pekee aliyeperform mda mrefu kuliko wengine wooote…kama uongozi wa Fiesta utakuwa unamlipa hela sawa na wasanii wengine basi itakuwa ni unyonyaji wa dhahili kabisa…nadiriki kusema kwa wasanii wanaoweza kupiga liveshow jamaa anaongoza Tanzania nzima..BIG UP KWAKE.