rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,327
- 5,594
Nimelazika kufika Central Polisi hapa Dar Es salaam, nimekuta Majembe mwenyewe anagawa samani kwenye ofisi za pale kituoni. Amegawa meza, Kabati na viti. Polisi nao siku hizi kila mwenye pesa anapigiwa Saluti hawakusita kufanya kitu hicho kila walipokuwa wakimwona Bw. huyu Nikajiuliza maswali kidogo, :- mbona wanaohitaji hivi vitu ni wanafunzi mashuleni na sio pale Polisi? Hata kama ni polisi kwanini sio kwenye vituo vidogo vidogo huko nje ya jiji? Mi nikajua tu ni hongo kwa jeshi hili ili yeye aweze kukingiwa kifua kwa ujambazi anaoufanya ambao umekuwa kero hapa mjini.