Nilichojifunza Nairobi-Kenya kwa siku 3

Nilichojifunza Nairobi-Kenya kwa siku 3

Habari bila picha/video clip sawa na taka taka tu

Ninyi ni wale vijana ambao shuleni mko ziro.Hivi kweli wewe unaweza kusoma vitabu vya simulizi,History,Geography,Physics,Literature,Mashairi ,na vya masomo yote ya darasani,n.k. ukavielewa?Nadhani huwa huvielewi,kwani havina hizo video au picha unazohitaji kwa kila jambo.Hivyo vitabu kwako ni takataka,kama nikikunukuu vizuri.NINAKUSIHI UJARIBU KUSHUGHULISHA KICHWA CHAKO KWA KUJITENGENEZEA PICHA AU VIDEO KICHWANI MWAKO KILA WAKATI UNAPOPATA SIMULIZI KUTOKA KWA MSIMULIAJI YOYOTE.
 
Nairobi au Kenya kiujumla maisha ni magumu sana asilimia 90 ya wanawake wanajiuza kwa kificho ukikubaliana utampa kiasi fulani unapewa mzigo
 
Kuhusu Swala la kutokutumia maji sio Nairobi pekee yake mkuu,... Ukienda Congo, Zambia, Zimbabwe, Botswana, South Africa na baaadhi ya nchi nyengine.hizo nilizo Nchi nilizozitaja nimezitembea kwa nina Experience nazo, ..nikipata demu nikienda nae home lazima nimpige maji kwanza ya kutosha yaani tunaoga pamoja ili ni enjoy pezi la sivyo ni mwendo wa kula papuchi huku unafumba pua
Hatari Sana aisee.
 
Kwa upande wa barabara sio kweli kuwa ni pana labda za katikati ya jiji nairobi na kuhusu warembo wapo wazuri wa pembezoni wa mjini kama kirigori na heisibania na huko gharama za maisha ziko juu na pesa sio ngumu kama ilivyo tz kwa sasa ukilinganisha jinsi walivyo jiwekezea sema hujatembea sana umeishia kuangalia maghorofa na wapita njia na sio maisha yao halisi ulishawai kuona ukitembea mile moja filling station tena moja au mbili ya kishikaji huwezi kuta wanauza mafuta kwenye vichupa na pepsi zipo zinatumika kama Kawa labda ulivyoona super market mkuu lai yangu fanya uchunguzi tena........utupefeedback
Mkuu Mimi nasema nilichokiona. Nimetembelea jiji la Nairobi.
 
Nairobi mji msafi!?
Labda kwa kulinganisha na Dar. Ila katika miji misafi Nairobi sio kabisa. Zamani ndio, sio kwa sasa.
Afrika Mashariki usafi uko kwa Wanyarwanda tu.
Mkuu hakuna sehemu nipoandika jiji la Nairobi Ni Safi. Bali nimesema wameachana na mifuko ya Nylon toka kitambo. Soma tena
 
Ili kukienzi Kiswahili chetu jifunze kutumia tafsida.... Ukienda haja kubwa au ndogo, kubakiwa na kinyesi njia ya haja kubwa nk.... Sawa? Kumbuka rais JPM yuko bondeni anapiga ndogo ndogo ili muende kufundisha Kiswahili... Sasa hii mambo ya Mavi, Mkund etc hapana aisee
Samahani mkuu. Kama imekukera.
 
Ninyi ni wale vijana ambao shuleni mko ziro.Hivi kweli wewe unaweza kusoma vitabu vya simulizi,History,Geography,Physics,Literature,Mashairi ,na vya masomo yote ya darasani,n.k. ukavielewa?Nadhani huwa huvielewi,kwani havina hizo video au picha unazohitaji kwa kila jambo.Hivyo vitabu kwako ni takataka,kama nikikunukuu vizuri.NINAKUSIHI UJARIBU KUSHUGHULISHA KICHWA CHAKO KWA KUJITENGENEZEA PICHA AU VIDEO KICHWANI MWAKO KILA WAKATI UNAPOPATA SIMULIZI KUTOKA KWA MSIMULIAJI YOYOTE.
Umemjibu vyema
 
Papuchi za bila maji si zitakuwa zinanuka sana??
Hatari sana mkuu, mimi nipo Ndola Zambia ila naweza kukaa miezi 3 sijagusa papuchi, sometimes unamiss sana papuchi za kibongo.
Kwa Experience yangu Bongo(Tanzania) bado itakuwa Nchi bora Sana kwangu kwenye baadhi ya mambo Kama Vyakula, usafi wa wanawake, Uhuru wa kuishi bila kubuguziwa....N.K
 
Hatari sana mkuu, mimi nipo Ndola Zambia ila naweza kukaa miezi 3 sijagusa papuchi, sometimes unamiss sana papuchi za kibongo.
Kwa Experience yangu Bongo(Tanzania) bado itakuwa Nchi bora Sana kwangu kwenye baadhi ya mambo Kama Vyakula, usafi wa wanawake, Uhuru wa kuishi bila kubuguziwa....N.K
Kwa nini unamis je wanawake huko hawapo?.
 
Papuchi za bila maji si zitakuwa zinanuka sana??
Yote aliyosema hujayaona. Wewe umeona papuchi tu. Mbona sehemu nyingi tu TZ hawatumii hata hivyo vyoo? Au umesahau kampeni ya "tumia choo Bukoba: sasa hawa wasiotumia vyoo hususan wenzetu wa Shy, Musoma, Dodoma, Songea na Singida. Hayo maji huko maporini wanayapata wapi?
TZ wanaotumia maji kikamilifu ni watu wa Pwani na Iringa kwa shemeji zangu.
 
Atakuwa wa pwani maana hao jamaa hawajui tafsida kabisa.
Ili kukienzi Kiswahili chetu jifunze kutumia tafsida.... Ukienda haja kubwa au ndogo, kubakiwa na kinyesi njia ya haja kubwa nk.... Sawa? Kumbuka rais JPM yuko bondeni anapiga ndogo ndogo ili muende kufundisha Kiswahili... Sasa hii mambo ya Mavi, Mkund etc hapana aisee
 
Hahahaha we jamaa bha tembea uone mkuu sio unalishwa matango ya kwenye data tu utomaso nao unasaidia.
Yote aliyosema hujayaona. Wewe umeona papuchi tu. Mbona sehemu nyingi tu TZ hawatumii hata hivyo vyoo? Au umesahau kampeni ya "tumia choo Bukoba: sasa hawa wasiotumia vyoo hususan wenzetu wa Shy, Musoma, Dodoma, Songea na Singida. Hayo maji huko maporini wanayapata wapi?
TZ wanaotumia maji kikamilifu ni watu wa Pwani na Iringa kwa shemeji zangu.
 
yaani nchi inayokiki sana afrika mashariki ni kenya, hata baadhi ya vyombo vya habari vikuubwa vimeweka makao makuu yao pale. Tanzania tunakwama wapi?
 
Back
Top Bottom