babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,161
- 5,971
mmmmh naona kiki mpya
si ndo hapo nami nashangaahivi manji anaweza kuja love connect kutafuta mpenzi kweli?
Hahahaa kaona imebuma sasa ili ajioshe vizuri katoa toleo la piliMkuu fursa hiyo changamkia.
Ila naona kama ya saa hizi ndo uongo, ile ya zamani itakuwa ndo ilikuwa kweli, kwa hiyo baada ya ile kutokiki katoka upya.
Kama una PhD na mali huna bora ukae kimya tu ujitombe mwnyw
hao ambao wameona maghorofa live hawajampenda sisi wakuandikiwa ndo tushoboke jamaniKwani ukitafuta mchumba mke ni lazima useme una mali au huna?! Angalia mfano hapo chini:
Umri:39
Kazi:Banker/Nimejiajiri
Elimuiploma,Degree,Masters,PhD
Makazi:Mwanza
Huna haja ya kuandika kiwango cha mshahara wako au mali ulizonazo, mwanamke akiongea na wewe tu atajua huyu ni mtu wa aina gani, anavutiwa na wewe au la!
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa safiiiiiiiiiii waaambie hao mbona uko kitaaa hajapigwa mpaka aje kujitangaza hapa hahahaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wapewape hao bestito
Aaaa acha hizo mkuu, mi bandiko sikuliona bwana ndio nimejua leo! ngoja nije huko pmBaada ya kutoa siri nje siwezi kupokea ombi lingine tena na wanajua hawawezi pm tena maana tulishindwana kwa hali nliyowaambia ninayo na ninavyoishi. Hata mtu aki pm sijibu imetoka hiyo
Mnanivunja mbavu zanguu jamani..Kama una PhD na mali huna bora ukae kimya tu ujitombe mwnyw
Mtaani kwetu unaitwa John KisomoMnanivunja mbavu zanguu jamani..
Ukiwa na PHD halafu huna hela unaonekana kama kichaa hivi..
Haaaa haaa kisomo cha haja, na mfukoni Hamna hata mia...Mtaani kwetu unaitwa John Kisomo
Si ndio jamaa zakoHaaaa haaa kisomo cha haja, na mfukoni Hamna hata mia...