Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,828
hapana mkuu mimi nilimwambia kabisa sitaki mpenzi kabisa sipo tayarimkuu na wew ulimfuata Pm nin
hapana mkuu mimi nilimwambia kabisa sitaki mpenzi kabisa sipo tayarimkuu na wew ulimfuata Pm nin
kama unadhani wanawake tunapenda vitu vyenu mbona huko mtaani kwenu hawajakutaka siku zote?
mbona kakosa kitaani kwao ? wao hawapendi kuishi na kifaru? aseme na ni kwanini hajapata mke miaka 39 na mali zote alizonazo kama anazani kupata mke ni mali
sitaki mieAcha maswali mengi, fursa hiyo.
sitaki mie siku mkigombana anahamia nyumba ya kimara au lodge kabisa .ahaaa chezeaMkuu fursa hiyo changamkia.
Ila naona kama ya saa hizi ndo uongo, ile ya zamani itakuwa ndo ilikuwa kweli, kwa hiyo baada ya ile kutokiki katoka upya.
sitaki mie
nimebarikiwa hadi kikombe changu kinafurikaUsije kujilaumu wenzao wakineemeka, bahati umeipoteza mwenyewe.
Bila shaka maana sio kwa povu ilo?mkuu na wew ulimfuata Pm nin
Well said... Agiza utakacho ntalipia. Anadhani all women are after wealthkama unadhani wanawake tunapenda vitu vyenu mbona huko mtaani kwenu hawajakutaka siku zote?
Utabadili ID na uanze upyaBaada ya kutoa siri nje siwezi kupokea ombi lingine tena na wanajua hawawezi pm tena maana tulishindwana kwa hali nliyowaambia ninayo na ninavyoishi. Hata mtu aki pm sijibu imetoka hiyo
Nadhani ulimaanisha kazi na si Nazi.
Anyways kwann uingie kwenye mahusiano kwa kudanganya? We jieleze ulivyo utapendwa ulivyo.
Unadhani Eddy mwenye kazi nzuri na Eddy asiye na kazi nzuri ni mtu mmoja? Hao ni watu 2 tofauti na huyo anaekupenda lazima amjue ni Eddy Gani wewe.
By the way hata ukiwa na Mali au kazi nzuri kiasi Gani au kama Huna mwanzoni mwanamke hawezi kukupenda ghafla, lazima muwe wote ndio akupende
Kwani ukitafuta mchumba mke ni lazima useme una mali au huna?! Angalia mfano hapo chini:Wana JF,
Hadi kufikia siku ya leo nimejifunza mengi katika safari yangu ya kumtafuta mchumba au mke, naomba wote tuliowasiliana wanisamehe maana sikuwa mkweli kuhusu elimu yangu ya juu ya Masters mbili pale Esami Arusha Njiro, ni mwandishi wa vitabu vingi vya uchumi na biashara za kimataifa, mali ninazo miliki na kuhusu maisha yangu ninayoishi.
Nilikuwa na sababu ya kutaka kujua nani tutakayekuwa naye na atakubali hali kama nilivyoeleza, mfano nilikuwa nawaeleza wengine kuwa nahitaji watoto wengi zaidi ya 2 hapana nahitaji 1 tu, wote sikuwa muwazi kuwa ninamiliki lodge pale Mbezi, nyumba mbili Kimara na Tabata zote self bado mpya, Arusha nyumba 1 kwa Morombo self, Mwanza lodge 1 Nyamagana. Walimu wengi na askari polisi wa wilaya ya Hai na Arusha nawapa mikopo midogo ya pesa ya chapchap.
Nilipanga vacation self driving ya kwenda Nairobi hakuna aliyejua kule itakuwaje isipokuwa exchange ya mambo mengi ya maisha na kufahamu mengi kuhusu mazingira na maisha anakoishi.
Nimejifunza kuwa lazima msichana akupende kwa kile ulicho nacho, wengi wana malengo ila wasiposikia kile wanachokitafuta wanakata tamaa na wanaondoka anaweza akakueleza hataolewa tena.
Upande wangu naishia hapa sitamtafuta mke tena hapa, nitampata kwa njia nyingine pamoja na kuwa inahitaji uvumilivu kidogo. Kuficha mali imenisaidia sana maana huenda mwingine angekuja kutokana na nilicho nacho ila uongo umenisaidia sana ila samahani kwa walio kwazika.
Kwani ukitafuta mchumba mke ni lazima useme una mali au huna?! Angalia mfano hapo chini:
Umri:39
Kazi:Banker/Nimejiajiri
Elimuiploma,Degree,Masters,PhD
Makazi:Mwanza
Huna haja ya kuandika kiwango cha mshahara wako au mali ulizonazo, mwanamke akiongea na wewe tu atajua huyu ni mtu wa aina gani, anavutiwa na wewe au la!
Mhmhmh patamu hapo!!!! Ngoja ...tell him ! mbona miaka 39 anaongeza nyumba juu ya nyuma hapati mke? aeleze ukweli wote asiweke story ya upande mmoja.kwani sisi tunaishi mapangoni hadi tushobokee nyumba zake?
miss youKwani ukitafuta mchumba mke ni lazima useme una mali au huna?! Angalia mfano hapo chini:
Umri:39
Kazi:Banker/Nimejiajiri
Elimuiploma,Degree,Masters,PhD
Makazi:Mwanza
Huna haja ya kuandika kiwango cha mshahara wako au mali ulizonazo, mwanamke akiongea na wewe tu atajua huyu ni mtu wa aina gani, anavutiwa na wewe au la!
miss u too...miss you
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa safiiiiiiiiiii waaambie hao mbona uko kitaaa hajapigwa mpaka aje kujitangaza hapa hahahaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wapewape hao bestitokama unadhani wanawake tunapenda vitu vyenu mbona huko mtaani kwenu hawajakutaka siku zote?