Muuza shombo
Member
- Jun 22, 2021
- 26
- 36
Moja kwa moja niende kwenye mada wana jf,..ni dhahiri wengi tumesikitishwa na janga ka moto lililotokea kariakoo na kuwaacha wafanyabiashara wengi na majonzi.Katika kila jambo linalotokea kuna pia la kujifunza.
Jeshi la zimamoto lime jidhihirisha lilivyo la hovyo kuanzia vitendea kazi vyake ,jeshi lenyewe lisilo na udhoefu na uokoaji wenyewe ulivyo wa kutia aibu.
Haiwezekani jeshi la zima moto linategemea kufuata maji eneo la mbali ili kuja kuzima moto city center.
LA KUJIFUNZA..
1 . Lazima jeshi la zimamoto litenge maeneo ya ku reserve maji kama matenki maeneo yote yenye mikusanyiko mikubwa ya watu.
2. Njia za mawasiliano ziboreshwe ili waweze kufika maeneo husika kwa muda ,si kwa kariakoo tu,,binafsi naamini kuna maeneo zimamoto huchelewa kwa sababu sehemu zenyewe hazifahamiki au kufikika kwa muda.
3.Maeneo yote yenye mikusanyiko mikubwa au mali za watu ni lazima kuwa na vifaa maalum vya kutoa alert kama moto umezuka ,,si mpaka watu wawapigie simu,,najua taasisi kubwa zina mifumo hii ila ni kwa jitihada zao.
UPANDE WA PILI ..WAFANYA BIASHARA.
Kwa hasara zilizotokea pale kariakoo wapo wengi watakao kwama kurudi na kuendelea na kazi zao, hivyo basi.
Ni jukumu la kila mfanyabishara aliye makini na biashara yake kuwa na bima ya biashara itakayo mkinga wakati wa majanga.
Kwa jinsi ninavyo wafahamu wabongo wenzangu ,,wengi hawana hizo bima na hata walio nazo bado huwa wanaficha taarifa zao sahihi ili wasilipe kiwango sahihi,si ajabu mtu kapata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 500 na akaishia kupewa compesation ya milioni 10 hadi 15.
2. Jukumu la usalama wako na mali zako unaanzia kwako mwenyewe. Tusiwategemee sana jeshi la zimamoto hata polisi,naamini kuna wengine ndani ya lile jengo wameokoa mali zao hata kama si zote,na pia kuna waliokuwa na nafasi ya kufanya hivyo piah ila hawakufanya wakiamini jeshi la zimamoto lingeweza kuzima moto ule haraka.trust you and yourself.
KWA VIONGOZI;
Viongozi wetu wengi huwa na tabia ya kufanya kazi kwa mazoea sana,,si ajabu chanzo cha moto ukute ni jambo lililokua likitokea mara kwa mara bila ya kutafutia ufumbuzi wa kudumu, si ajabu mama samia asingewafukuza wale viongozi hata moto usingezuka kwa sababu tayari wao walijua ni wapi pana matatizo au mianya ya watu kufanya uharibifu, viongozi wapya wao wanachojua ni kukusanya kodi tu.vingine ni kuongea na wazawa tyu mambo yanakaa sawa.
Jeshi la zimamoto lime jidhihirisha lilivyo la hovyo kuanzia vitendea kazi vyake ,jeshi lenyewe lisilo na udhoefu na uokoaji wenyewe ulivyo wa kutia aibu.
Haiwezekani jeshi la zima moto linategemea kufuata maji eneo la mbali ili kuja kuzima moto city center.
LA KUJIFUNZA..
1 . Lazima jeshi la zimamoto litenge maeneo ya ku reserve maji kama matenki maeneo yote yenye mikusanyiko mikubwa ya watu.
2. Njia za mawasiliano ziboreshwe ili waweze kufika maeneo husika kwa muda ,si kwa kariakoo tu,,binafsi naamini kuna maeneo zimamoto huchelewa kwa sababu sehemu zenyewe hazifahamiki au kufikika kwa muda.
3.Maeneo yote yenye mikusanyiko mikubwa au mali za watu ni lazima kuwa na vifaa maalum vya kutoa alert kama moto umezuka ,,si mpaka watu wawapigie simu,,najua taasisi kubwa zina mifumo hii ila ni kwa jitihada zao.
UPANDE WA PILI ..WAFANYA BIASHARA.
Kwa hasara zilizotokea pale kariakoo wapo wengi watakao kwama kurudi na kuendelea na kazi zao, hivyo basi.
Ni jukumu la kila mfanyabishara aliye makini na biashara yake kuwa na bima ya biashara itakayo mkinga wakati wa majanga.
Kwa jinsi ninavyo wafahamu wabongo wenzangu ,,wengi hawana hizo bima na hata walio nazo bado huwa wanaficha taarifa zao sahihi ili wasilipe kiwango sahihi,si ajabu mtu kapata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 500 na akaishia kupewa compesation ya milioni 10 hadi 15.
2. Jukumu la usalama wako na mali zako unaanzia kwako mwenyewe. Tusiwategemee sana jeshi la zimamoto hata polisi,naamini kuna wengine ndani ya lile jengo wameokoa mali zao hata kama si zote,na pia kuna waliokuwa na nafasi ya kufanya hivyo piah ila hawakufanya wakiamini jeshi la zimamoto lingeweza kuzima moto ule haraka.trust you and yourself.
KWA VIONGOZI;
Viongozi wetu wengi huwa na tabia ya kufanya kazi kwa mazoea sana,,si ajabu chanzo cha moto ukute ni jambo lililokua likitokea mara kwa mara bila ya kutafutia ufumbuzi wa kudumu, si ajabu mama samia asingewafukuza wale viongozi hata moto usingezuka kwa sababu tayari wao walijua ni wapi pana matatizo au mianya ya watu kufanya uharibifu, viongozi wapya wao wanachojua ni kukusanya kodi tu.vingine ni kuongea na wazawa tyu mambo yanakaa sawa.