OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,623
- 9,165
Wakuu nashukuru sana kwa wale mlionipa pole kwa lile tukio lililonikuta siku chache kabla ya Christmas,
Huu ni muendelezo,
Wakuu kwa wale mnaotoka maeneo mengine ya mikoani mnaokuja kuishi au kutafuta maisha ktk mkoa wa Morogoro, hasa hasa Morogoro mjini, kuweni makini.
Watu wa huu mkoa hawana kabisa haiba ya shukurani au utu, ukiwa Ktk mkoa huu usipende kusaidia hovyo hovyo, ni kheri uonekane mchoyo,
Ule ukarimu wa mikoani umeniponza, kila niliyemsaidia wore wamegeuka maadui,
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni muendelezo,
Wakuu kwa wale mnaotoka maeneo mengine ya mikoani mnaokuja kuishi au kutafuta maisha ktk mkoa wa Morogoro, hasa hasa Morogoro mjini, kuweni makini.
Watu wa huu mkoa hawana kabisa haiba ya shukurani au utu, ukiwa Ktk mkoa huu usipende kusaidia hovyo hovyo, ni kheri uonekane mchoyo,
Ule ukarimu wa mikoani umeniponza, kila niliyemsaidia wore wamegeuka maadui,
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app