Nilichojifunza baada ya jasiri/asiyeogopa kujificha kwenye mahakama isiyo kuwa huru

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,208
42,068
Wana jamvi Wasalaam.

Kuna wakati huwa najishangaa sana hasa kwa matamshi yangu na watu wanao nizunguka.

Jamii ilisha aminishwa na mimi mwenyewe kuwa siogopi mtu yeyote,iwe mahakama,polisi mimi siogopi lakini huwa napoteza kumbu kumbu..

Pia kuna wakati nasema wazi kuwa yeyote yule nitamshinda mahakamani lakini nikikutana na vijana wangu nawambia kuwa mahakama haziko huru na hakuna uhuru wa mahakama.

Zitto alipokuwa ana wakwepa polisi na kujificha ndani ya bunge alibezwa sana na kuitwa ni muoga na sio kamanda wa kweli....lakini jana tumeshuhudia msomi,jasiri,kamanda Tundu Lissu kwa uoga alio kopeshwa alijificha ndani ya mahakama zisizo huru na kuomba kuhakikishiwa kuwa hatokamatwa na aliomba security hiyo kwa watu ambao huwaita policeccm na mapolisi,lipolisi

Jana nimejifunza kuwa.
Mahakama ziko huru ndio maana Tundu lissu aligeuza kimbilio..

Polisi wetu hutenda haki ndio maana Lissu aliomba immunity kwa RPC

Vijana tunapo ambiwa tupambane bila kuogopa tuwatazame kwanza wanaosema je wao kweli hawaogopi?

Tundu lissu amesahau kuwa Rais wa chama cha wanasheria ni sawa na Rais wa Tff,Rais wa wacheza bao au waogeleaji.

Pia Lissu jana alitufunza kuwa zakuambiwa changanya na zako maana jana aliomba immunity kwa watu ambao huwa kashifu oooh mapolisi ooh mapolisiccm.

Hongera sana Tundu Lissu
 
Ha ha ''jasiri/asiyeogopa'', Tundu Lissu ni ''coward of the first order'' anaongea kupitia jukwaa la kisiasa kisha anajitetea kupitia TLS, eti ''ionekane mahakama imeingiliwa'', eti yeye ni ''mtumishi wa mahakama''...Kwani polisi hawajui kuwa huwezi kumkamata mtu ndani ya mahakama?
20108672_1542135672515282_8022619002522727478_n.jpg
 
Wana jamvi Wasalaam.
Kuna wakati huwa najishangaa sana hasa kwa matamshi yangu na watu wanao nizunguka.
Jamii ilisha aminishwa na mimi mwenyewe kuwa siogopi mtu yeyote,iwe mahakama,polisi mimi siogopi lakini huwa napoteza kumbu kumbu..

Pia kuna wakati nasema wazi kuwa yeyote yule nitamshinda mahakamani lakini nikikutana na vijana wangu nawambia kuwa mahakama haziko huru na hakuna uhuru wa mahakama...

Zitto alipokuwa ana wakwepa polisi na kujificha ndani ya bunge alibezwa sana na kuitwa ni muoga na sio kamanda wa kweli....lakini jana tumeshuhudia msomi,jasiri,kamanda Tundu Lissu kwa uoga alio kopeshwa alijificha ndani ya mahakama zisizo huru na kuomba kuhakikishiwa kuwa hatokamatwa na aliomba security hiyo kwa watu ambao huwaita policeccm....na mapolisi,lipolisi

Jana nimejifunza kuwa..
Mahakama ziko huru ndio maana Tundu lissu aligeuza kimbilio..

Polisi wetu hutenda haki ndio.maana Lissu aliomba immunity kwa RPC

Vijana tunapo ambiwa tupambane bila kuogopa tuwatazame kwanza wanaosema je wao kweli hawaogopi?

Tundu lissu amesahau kuwa Rais wa chama cha wanasheria ni sawa na Rais wa Tff,Rais wa wacheza bao au waogeleaji...

Pia Lissu jana alitufunza kuwa zakuambiwa changanya na zako maana jana aliomba immunity kwa watu ambao huwa kashifu oooh mapolisi ooh mapolisiccm...

Hongera sana Tundu Lissu
Lissu Kamanda wa makaratasi tu....mkwara wa police akajificha kwenye meza za mahakamani huku anajiita yeye mpambanaji:D:D:D
 
Mahakama na Polisi wanatenda haki wakiwa kwenye uhuru Wao wa kufuata sheria zinavyo waelekeza,tatizo ni pale wanapofanya kazi kwa kufuata maelekezo ya CCM.
Hahahahaha kumbe wako huru
 
Wana jamvi Wasalaam.
Kuna wakati huwa najishangaa sana hasa kwa matamshi yangu na watu wanao nizunguka.
Jamii ilisha aminishwa na mimi mwenyewe kuwa siogopi mtu yeyote,iwe mahakama,polisi mimi siogopi lakini huwa napoteza kumbu kumbu..

Pia kuna wakati nasema wazi kuwa yeyote yule nitamshinda mahakamani lakini nikikutana na vijana wangu nawambia kuwa mahakama haziko huru na hakuna uhuru wa mahakama...

Zitto alipokuwa ana wakwepa polisi na kujificha ndani ya bunge alibezwa sana na kuitwa ni muoga na sio kamanda wa kweli....lakini jana tumeshuhudia msomi,jasiri,kamanda Tundu Lissu kwa uoga alio kopeshwa alijificha ndani ya mahakama zisizo huru na kuomba kuhakikishiwa kuwa hatokamatwa na aliomba security hiyo kwa watu ambao huwaita policeccm....na mapolisi,lipolisi

Jana nimejifunza kuwa..
Mahakama ziko huru ndio maana Tundu lissu aligeuza kimbilio..

Polisi wetu hutenda haki ndio.maana Lissu aliomba immunity kwa RPC

Vijana tunapo ambiwa tupambane bila kuogopa tuwatazame kwanza wanaosema je wao kweli hawaogopi?

Tundu lissu amesahau kuwa Rais wa chama cha wanasheria ni sawa na Rais wa Tff,Rais wa wacheza bao au waogeleaji...

Pia Lissu jana alitufunza kuwa zakuambiwa changanya na zako maana jana aliomba immunity kwa watu ambao huwa kashifu oooh mapolisi ooh mapolisiccm...

Hongera sana Tundu Lissu
Halafu kajificha huku anategemea kasichana ka kizungu kamtangaze kwenye jumuiya ya kimataifa, ha ha ha; eti kamanda mwanasheria nguli rais wa TLS.
 
Sasa hapo uoga uko wapi? Mahakama ni mahali pa usalama, sasa kwani mtu kuwa mahakamani au kwenye viunga vya mahakama ni uoga? Je, kwa hiyo mnatuaminisha kwamba polisi wetu ni katili? Kwa hiyo tunaposema tupambane bila woga tuna maana usitafute usalama wa maisha yako? Nyie bure kabisa. Kupambana ni pamoja na kumkwepa kisomi na kijanja adui yako.
 
Mbona mna hasira sana na Lissu nyie CCM? Kwa kweli hakuna akifanyacho Lissu kikawaacha CCM salama. Yaani mtu kubaki tu kwenye vyumba vya mahakama tayari mapovu ya kijani mengiiiiiii
 
Tusaidie ni kamanda yupi ambaye uliwahi kumuona au kumsikia katika dunia hii pale anapogunduà adui yake ana silaha nzito kuliko yake bado alijitokeza hadharani?Unless awe zuzu kama wewe
Wana jamvi Wasalaam.
Kuna wakati huwa najishangaa sana hasa kwa matamshi yangu na watu wanao nizunguka.
Jamii ilisha aminishwa na mimi mwenyewe kuwa siogopi mtu yeyote,iwe mahakama,polisi mimi siogopi lakini huwa napoteza kumbu kumbu..

Pia kuna wakati nasema wazi kuwa yeyote yule nitamshinda mahakamani lakini nikikutana na vijana wangu nawambia kuwa mahakama haziko huru na hakuna uhuru wa mahakama...

Zitto alipokuwa ana wakwepa polisi na kujificha ndani ya bunge alibezwa sana na kuitwa ni muoga na sio kamanda wa kweli....lakini jana tumeshuhudia msomi,jasiri,kamanda Tundu Lissu kwa uoga alio kopeshwa alijificha ndani ya mahakama zisizo huru na kuomba kuhakikishiwa kuwa hatokamatwa na aliomba security hiyo kwa watu ambao huwaita policeccm....na mapolisi,lipolisi

Jana nimejifunza kuwa..
Mahakama ziko huru ndio maana Tundu lissu aligeuza kimbilio..

Polisi wetu hutenda haki ndio.maana Lissu aliomba immunity kwa RPC

Vijana tunapo ambiwa tupambane bila kuogopa tuwatazame kwanza wanaosema je wao kweli hawaogopi?

Tundu lissu amesahau kuwa Rais wa chama cha wanasheria ni sawa na Rais wa Tff,Rais wa wacheza bao au waogeleaji...

Pia Lissu jana alitufunza kuwa zakuambiwa changanya na zako maana jana aliomba immunity kwa watu ambao huwa kashifu oooh mapolisi ooh mapolisiccm...

Hongera sana Tundu Lissu
 
Kujificha maana yake nini?Si aliwaambia mkamkamate yeye yuko mahakamani?Hakuwa amejificha,tena akapigilia na msumari mwigine kuwa hatonyamaza!
 
Wana jamvi Wasalaam.
Kuna wakati huwa najishangaa sana hasa kwa matamshi yangu na watu wanao nizunguka.
Jamii ilisha aminishwa na mimi mwenyewe kuwa siogopi mtu yeyote,iwe mahakama,polisi mimi siogopi lakini huwa napoteza kumbu kumbu..

Pia kuna wakati nasema wazi kuwa yeyote yule nitamshinda mahakamani lakini nikikutana na vijana wangu nawambia kuwa mahakama haziko huru na hakuna uhuru wa mahakama...

Zitto alipokuwa ana wakwepa polisi na kujificha ndani ya bunge alibezwa sana na kuitwa ni muoga na sio kamanda wa kweli....lakini jana tumeshuhudia msomi,jasiri,kamanda Tundu Lissu kwa uoga alio kopeshwa alijificha ndani ya mahakama zisizo huru na kuomba kuhakikishiwa kuwa hatokamatwa na aliomba security hiyo kwa watu ambao huwaita policeccm....na mapolisi,lipolisi

Jana nimejifunza kuwa..
Mahakama ziko huru ndio maana Tundu lissu aligeuza kimbilio..

Polisi wetu hutenda haki ndio.maana Lissu aliomba immunity kwa RPC

Vijana tunapo ambiwa tupambane bila kuogopa tuwatazame kwanza wanaosema je wao kweli hawaogopi?

Tundu lissu amesahau kuwa Rais wa chama cha wanasheria ni sawa na Rais wa Tff,Rais wa wacheza bao au waogeleaji...

Pia Lissu jana alitufunza kuwa zakuambiwa changanya na zako maana jana aliomba immunity kwa watu ambao huwa kashifu oooh mapolisi ooh mapolisiccm...

Hongera sana Tundu Lissu
Nimpumbavu tu asiyejua umuhimu wa Bar association katika nchi hii isiyo amini katika democrasia na utawala wa sheria
 
Aliyoyaongea Lissu, baadhi ni kweli mengine ni uongo. Hata uwe bingwa kiasi gani mahabusu siyo kuzuri. Muulize Halima Ndee
 
Back
Top Bottom