Fredinho
JF-Expert Member
- May 18, 2016
- 971
- 1,161
- Thread starter
- #21
Mkuu unalazimisha vitu kwa sababu tu uanaangalia kupitia angle moja,simply to discover is to find out ( a)something existing but not known before-kitu kilichokuwepo lakini hakikuwa kikifahamika,(b) a fact ,mfano scientists have discovered that this disease is carried by rats-ugonjwa huu unasababishwa/unaenezwa na panya, (c)the answer to a question- mfano did you ever discover who sent you the flowers?-umegundua nani aliekutumia maua? kwa hiyo discover ni neno mtambuka linaweza kuwa scientific discover or just a mere discover.INVENTION NI UVUMBUZI-to make up,think or produce something for the first time.Hapo unakuwa umefaham au kujua kabila lake, nadhani kiswahili labda kina maneno machache kwasababu kwa wezetu waingereza hii unayo zungumzia ni discovery na kugundua ni invention ambayo inahusisha scientific procedures
Hitimisho
One discovers something that existed before but was not known such as a place or a fact etc,one invents something that did not exist before(mtu hugundua kitu kilichokuwepo tayari ila hakikuwa kikifahamika vizuri kama mahali au ukweli fulani na mtu huvumbua kitu ambacho hakikuwepoo kabla.Kama hukunielewa hakuna namna tena mkuu.