Fredinho
JF-Expert Member
- May 18, 2016
- 971
- 1,161
Baada ya kuangalia na kusikiliza vipindi mbali mbali vya television kufikia jana jumanne nimegundua mambo yafuatayo.
1. Dr.Tulia Ackson ni kiongozi ambae yupo vizuri sana kichwani na mwenye kujitambua, uwezo wake wa kujibu maswali chokozi kwa utulivu na busara ni bora pengine kuzidi viongozi wakina mama wengi sana nchini(ukiondoa wale ambao siwajui).Kwa uwezo huo ataendelea "kukimbiwa" sana bungeni.
2.Lemutuz nation,anaonewa tu mitandaoni,jamaa anajua anachokifanya.Baada ya kumsikiliza na kumtizama katika Take one pale clouds Tv,nimegundua kuwa lemutuz anaishi kwa kufuata falsafa aliyoitengeneza mwenyewe kitu ambacho wengi hawana,sasa ni muda wa kumuacha lemutuz aendelee na falsafa yake bila kubughudhiwa.
3.CUF na Lipumba bado hawajajua wanachotaka,hawa wanamlilia Lipumba wale hawamtaki Lipumba,Lipumba amejiuzulu uenyekiti na bado anataka uenyekiti.Tunahitaji sana kupewa elimu ya nini maana ya kujiuzulu,kwa kifupi kujiuzulu ni KUJIUZULU.
4.Mbio za ubingwa wa ligi ya Uingereza zitakuwa ni za farasi wawili,Man city na Man utd, ni vita ya Mourinho au Guardiola.
1. Dr.Tulia Ackson ni kiongozi ambae yupo vizuri sana kichwani na mwenye kujitambua, uwezo wake wa kujibu maswali chokozi kwa utulivu na busara ni bora pengine kuzidi viongozi wakina mama wengi sana nchini(ukiondoa wale ambao siwajui).Kwa uwezo huo ataendelea "kukimbiwa" sana bungeni.
2.Lemutuz nation,anaonewa tu mitandaoni,jamaa anajua anachokifanya.Baada ya kumsikiliza na kumtizama katika Take one pale clouds Tv,nimegundua kuwa lemutuz anaishi kwa kufuata falsafa aliyoitengeneza mwenyewe kitu ambacho wengi hawana,sasa ni muda wa kumuacha lemutuz aendelee na falsafa yake bila kubughudhiwa.
3.CUF na Lipumba bado hawajajua wanachotaka,hawa wanamlilia Lipumba wale hawamtaki Lipumba,Lipumba amejiuzulu uenyekiti na bado anataka uenyekiti.Tunahitaji sana kupewa elimu ya nini maana ya kujiuzulu,kwa kifupi kujiuzulu ni KUJIUZULU.
4.Mbio za ubingwa wa ligi ya Uingereza zitakuwa ni za farasi wawili,Man city na Man utd, ni vita ya Mourinho au Guardiola.