Nilichogundua kwa Rais

Nilichogundua kwa Rais

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
12,212
Reaction score
17,005
Nimewahi kuishi Zanzibar nikiwa mdogo huko na pia kufanya nao kazi sehemu mbalimbali. Hawa watu ni wapole, wasio na makuu, wasio na majivuno!

Shida unakuja ni hawa ndugu zetu wa huku bara! Sio wa kweli kwenye moja wao wanasema ni mbili! kwenye uongo, wanasema ni ukweli, kwenye ukweli wanasema ni uongo!.

Huyu nae ni Binadamu kama tulivyo sisi wengine, mapungufu nae anayo. Chukulia mtu kama Lukas Mwashambwa kwenye mada yake Moja, Anadai Raisi asiwe na ukomo! Maana yake katiba Raisi aivunje, unategemea Nini kwa ushauri wa watu kama Hawa na mwenzake tlaahtlaah?!

Ukweli au jambo la uongo, lisemwe kwa staha bila kificho Wala fitina.
Ahsanteni sana.
 
Nimewahi kuishi Zanzibar nikiwa mdogo huko na pia kufanya nao kazi Sehemu mbalimbali.
Hawa watu ni wapole,wasio na makuu,wasio na majivuno!
Shida unakuja ni Hawa ndugu zetu wa huku bara!Sio wa kweli kwenye Moja wao wanasema ni mbili! kwenye uongo, wanasema ni ukweli, kwenye ukweli wanasema ni uongo!.
Huyu nae ni Binadamu kama tulivyo sisi wengine, mapungufu nae anayo.
Chukulia mtu kama Lukas Mwashambwa kwenye mada yake Moja, Anadai Raisi asiwe na ukomo! Maana yake katiba Raisi aivunje, unategemea Nini kwa ushauri wa watu kama Hawa na mwenzake tlaahtlaah?!
Ukweli au jambo la uongo,lisemwe kwa staha bila kificho Wala fitina.
Ahsanteni sana.
Halafu wanawachukia wanaohubiri mabadiliko. Wanawachukia wanaona nchi haiwezi kuwa yenye utawala unaovunja sheria
 
Mkuu tunatofautiana uelewa kuna watu wanawaamini!
Kweli kabisa. Juzi tulikuwa tumekaa mtaani . Ni siku ya sikukuu. Akatokea mzee mmoja kwake alikuwa ameandaq chakula. Akaja kuita watu wakajumuike. Badala ya kuwambia karibuni chakula yye akasema " jamani karibuni pilau" mtu yule kwa uelewa wake aliamini kwamba pilau ni chakula special saaana kwake na kwa wengine wote waliokuwepo pale.
Uelewa ni mdogo
 
Nimewahi kuishi Zanzibar nikiwa mdogo huko na pia kufanya nao kazi sehemu mbalimbali. Hawa watu ni wapole, wasio na makuu, wasio na majivuno!

Shida unakuja ni hawa ndugu zetu wa huku bara! Sio wa kweli kwenye moja wao wanasema ni mbili! kwenye uongo, wanasema ni ukweli, kwenye ukweli wanasema ni uongo!.

Huyu nae ni Binadamu kama tulivyo sisi wengine, mapungufu nae anayo. Chukulia mtu kama Lukas Mwashambwa kwenye mada yake Moja, Anadai Raisi asiwe na ukomo! Maana yake katiba Raisi aivunje, unategemea Nini kwa ushauri wa watu kama Hawa na mwenzake tlaahtlaah?!
Ukweli au jambo la uongo,lisemwe kwa staha bila kificho Wala fitina.
Ahsanteni sana.
Yeye mwenyewe hana uwezo wa kutambua ushauri wa kijinga?
 
We Angalia hii no reforms no election, angekuwa na washauri wenye mtizamo wa hata wachache wasikilizwe,angeunda tume huru ya kupitia maoni ya wananchi,ni kwenye kitu Gani na ajiri ya Faida ya nani!Haina haja ya kutumia nguvu Nyingi,Bado watu wa miaka ya chama kimoja wapo wengi na kijani kushinda ni asilimia kubwa.Ila washauri Wana hofu na vyeo vyao! Wakistaafu ndio wanaanza ya chinichini!
 
Nimewahi kuishi Zanzibar nikiwa mdogo huko na pia kufanya nao kazi sehemu mbalimbali. Hawa watu ni wapole, wasio na makuu, wasio na majivuno!

Shida unakuja ni hawa ndugu zetu wa huku bara! Sio wa kweli kwenye moja wao wanasema ni mbili! kwenye uongo, wanasema ni ukweli, kwenye ukweli wanasema ni uongo!.

Huyu nae ni Binadamu kama tulivyo sisi wengine, mapungufu nae anayo. Chukulia mtu kama Lukas Mwashambwa kwenye mada yake Moja, Anadai Raisi asiwe na ukomo! Maana yake katiba Raisi aivunje, unategemea Nini kwa ushauri wa watu kama Hawa na mwenzake tlaahtlaah?!
Ukweli au jambo la uongo,lisemwe kwa staha bila kificho Wala fitina.
Ahsanteni sana.
Namuona Lucas Mwashambwa akibubujikwa na #NoReformsNoElection
 
Kweli kabisa. Juzi tulikuwa tumekaa mtaani . Ni siku ya sikukuu. Akatokea mzee mmoja kwake alikuwa ameandaq chakula. Akaja kuita watu wakajumuike. Badala ya kuwambia karibuni chakula yye akasema " jamani karibuni pilau" mtu yule kwa uelewa wake aliamini kwamba pilau ni chakula special saaana kwake na kwa wengine wote waliokuwepo pale.
Uelewa ni mdogo
Tabia mbaya sana,sema chakula tuu!
 
Tabia mbaya sana,sema chakula tuu!
Embu fikiria mtu mzima anawakaribisha watu wazima chakula. Badala ya kuwambia karibuni chakula anapaza sauti " JAMANI KARIBUNI PILAU" Pilau ni nini sasa??
Lakini chanzo ni uelewa mdogo ambao kimsingi ni changamoto kwa watanzania wengi sana
 
Tatizo wengi hawaijui CCM kama Mimi!!

CCM wanakupa maelekezo ukishika ufanye Moja ,mbili tati!

Halafu ukishashika wanakuletea chawa wakuharibie Kwa sifa Ili uharibu wakukule kichwa chako!

Kwamfano!

Mama aliambiwa aanze uandishi wa katiba mpya na ateue Bunge lianza mchakato by 2022!

Chawa wakamwambia kwanza unatakiwa ugombee muhula wa pili halfu CHONGOLO AKALOPOKA ETI KATIBA HAILETI UGALI MEZANI HALAFU NDIO KATIBU MKUU WA CHAMA!!

NA MAMA AKALOPOKA NA YEYE ETI "KATIBA NI KIJITABU TU"

SASA UNAJIULIZA BILA HIYO KATIBA ANGEAPISHWA KUWA Rais!!?

halafu wahuni wakaanza kuteka watu na kuwapoteza,halafu wanamkebehi mtia Nia kwa kauli mbiu "KAZI na utu tunasonga mbele"

Ukijuliza Sana haya mambo lazima urukwe na akili!!
 
Back
Top Bottom