Nilichogundua kuhusu Arusha

Hata ukitoa mapovu huwezi linganisha Arusha na miji mingi tz ukitoa Dar na Mwanza. Hata hayo majiji bado yana mambo mengi yanayozidiwa na Arusha.
 
Club AQ, bado ipo? Asma wa AQ nimekumiss.
 
Huna hela halafu unautaka uzuri wa ARUSHA? Baki Dar kama huna hela,huku "Hasara roho pesa makaratasi" Ishia hapohapo stand
 
Haha baelezee wamezoea uko dar kwenye jam na mitakataka ya kila aina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…