Salaam kwenu poleni kwa majukumu ya kila siku
Corona ipo na inauwa, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada
Hongereni Sana nyie mliokoka kutoka moyoni na sio machoni
Kama hunywi pombe huzini huibi hudhurum husengenyi jiite tu we mkamirifu
Ingawa hakuna mkamirifu chini ya jua mi nilikuwa kwenye kundi la uzinifu Ila kwa Sasa Basi
Kifupi nilikutwa na mke wa mtu aliyesema Hana mume mwisho wa siku yaliyonikuta
Cha kwanza kutepeteshwa fedha zote za mauzo thamani ya laki mbili na sabini makofi yasiyoelezeka ngumi mateke Ila nashukuru hakukuwa na mambo mabaya dhaidi
Ili yaishe thamani iyo ya fedha ndio iliweka mambo sawa
Lakini kikubwa nilichojifunza kuwa dhambi zote zilizoandikwa kitabuni bibilia kuruan zote zipo na Zina nusra kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ipo na inauwa, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada
Hongereni Sana nyie mliokoka kutoka moyoni na sio machoni
Kama hunywi pombe huzini huibi hudhurum husengenyi jiite tu we mkamirifu
Ingawa hakuna mkamirifu chini ya jua mi nilikuwa kwenye kundi la uzinifu Ila kwa Sasa Basi
Kifupi nilikutwa na mke wa mtu aliyesema Hana mume mwisho wa siku yaliyonikuta
Cha kwanza kutepeteshwa fedha zote za mauzo thamani ya laki mbili na sabini makofi yasiyoelezeka ngumi mateke Ila nashukuru hakukuwa na mambo mabaya dhaidi
Ili yaishe thamani iyo ya fedha ndio iliweka mambo sawa
Lakini kikubwa nilichojifunza kuwa dhambi zote zilizoandikwa kitabuni bibilia kuruan zote zipo na Zina nusra kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app