Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,924
Reaction score
11,305
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
 
Alcohol free since January 1 2024.
 
Hili tatizo tunapitia wengi..
 
😔😔😔 pole bro.

Ila hujarogwa.
Jitahidi tu kuicontrol.
Kama uliweza kwa mwaka 1. ipo siku utaacha tena kwa miaka 2, na baadae utaweza miaka 5 na baadae utaacha kabisa.

Bia gan unatumia?
 
Ni i kilikufanya uache mara ta kwanza?
 
Tunakuzika soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…